Mwalimu wa temporary

Blank page

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2015
Posts
5,487
Reaction score
4,817
Habar yenu wakuu? Mimi ni form 6 leaver nimesoma CBG natafuta nafasi ya kuwa mwalimu wa tempo katika shule yoyote kwa masomo tajwa hapo juu.kwa anaefahamu shule inayohitaji plz msaada anambie
 
Njoo muleba

samahan mkuu,sijaweka sawa kwamba isiwe mbali sana na mkoa wa mbeya.but hata huko ningeweza fika sema sina hata hela ya kuanzia safari au maisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…