Mwalimu wa ufundi bomba

Ibrahim daud

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2013
Posts
609
Reaction score
524
Kutokana na hali ngumu nimepata kazi katika moja ya vyuo vya ufundi kutokana na elimu yangu ya degree na uzoefu kwenye ujenzi boss kanipa somo la plumbing sasa.

Anataka niandae syllabus.

Mwenye muongozo na hili anisaidie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…