Kwa wale wakongwe waliosomaChuo Cha Ualimu Mpwapwa, Bustani na Butimba miaka ya 1960 hadi 1990 mwanzoni bila shaka watamkubuka Mwalimu wao mahiri Mzee Kizo,(91)! Bila shaka PM Majaliwa yupo ktk kundi hili!
Mzee wetu huyu alitefundisha maelfu ya walimu Tanzania ametangulia mbele ya Haki Jumapili iliyopita ktk Hospitali ya Bugando Mwanza.
Msiba upo nyumbani kwake Butimba Mwanza !
Mazishi yanatarajiwa kufanyika Chabutwa ,Sikonge ,Tabora Ijumaa Tarehe 19/05/2023 .
Buriani Mwalimu Kizo ..kazi Umeimaliza!
Mzee wetu huyu alitefundisha maelfu ya walimu Tanzania ametangulia mbele ya Haki Jumapili iliyopita ktk Hospitali ya Bugando Mwanza.
Msiba upo nyumbani kwake Butimba Mwanza !
Mazishi yanatarajiwa kufanyika Chabutwa ,Sikonge ,Tabora Ijumaa Tarehe 19/05/2023 .
Buriani Mwalimu Kizo ..kazi Umeimaliza!