Mwalimu Yusuph na dhana nzima ya Ualimu ni wito

Mwalimu Yusuph na dhana nzima ya Ualimu ni wito

Man from cuba

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2021
Posts
571
Reaction score
1,394
Huyu ni mwl Yusuph, mwl ambaye kwake ualimu ni wito kama enzi za Nyerere

 
Zama zimebadilika
Enzi za Nyerere na ujamaa ndio ilikuwa haki kuita au kusema wito.

Kwa Sasa ni Ubepari na Nduguye Ubeberu hakuna Cha wito au mdogo wake walipwe wanavyostahili
 
Huyu jamaa ni hatari sana tena anasaidia hadi wanafunzi wanaoishi mazingira magumu kupitia wadau mbalimbali.

Ila mtindo wake wa kufundisha unawavutia watoto wengi na huwa hawaachi kwenda shule sababu ya huyo mwalimu.
Inatakiwa apongezwe pia wizara imuangalie km inaweza kumtumia kwenye uhamasishaji ili wanafunzi waache utoro
 
Zama zimebadilika
Enzi za Nyerere na ujamaa ndio ilikuwa haki kuita au kusema wito.

Kwa Sasa ni Ubepari na Nduguye Ubeberu hakuna Cha wito au mdogo wake walipwe wanavyostahili
Ni ajira km zingine mtu akifanya vizuri lazima apongezwe
 
Ndio tulivyoumbwa duniani...
Kuna wale bora liende maisha yake yote tokea wakati anasoma, hata akikosa pote anaishia ualimu huku anakacha vipindi darasani na anajulikana kuchapa hasa wanafunzi, lakini wa kwanza kukamatia bahasha...
Kuna wengine kama huyu ni moyo unamtuma kubadilisha maisha ya wanafunzi wake kwa njia yoyote, halafu walimu kama hawa huna ni nadra sana kuchapa wanafunzi.....
 
Back
Top Bottom