mwalimu

fired

Senior Member
Joined
Apr 4, 2021
Posts
151
Reaction score
311
Basi mwalimu Edward alipomaliza kuandika maswali, akakaa sehemu yake kisha akawa anasubiri mwanafunzi aliye maliza apeleke daftari ili amsahishie. Lakini katika hali isiyokuwa ya kawaida akashangaa kuona mtoto mmoja akijipaka mate kichwani...!!! Mwalimu Edward alihamaki sana na kuinuka kwa hasira huku kashika fimbo. Akamfuata na kumuuliza: MWALIMU; "Weee mjinga kwanini unajipaka mate kichwani..! Hujui Kama ni uchafu..??" MTOTO; "Hapana sio uchafu mwalimu...!!" MWALIMU; "Mpumbavu kabisa wewe, sasa ni mchuzi uo...aya niambie wewe... ni nini
 
Natamani mods wakupige ban tu,
 
Kama sio mtoto wa diamond huyo aisee ,maana aliambiwa apake mate itelezee kama nyoka pangoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…