Mwamashimba: Wanakifahamu wanijuze

Mwamashimba: Wanakifahamu wanijuze

Jurrasic Park

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2013
Posts
3,801
Reaction score
6,806
Habari

Siku za hivi karibuni kuna rafiki yangu amepangiwa Mwamashimba kwenda kufanya kazi huko.

Wanaoijua embu mnijuze pakoje vip huduma muhimu zinapatikana?
 
Huko ni usukumani mkuu, ajiandae kuwa mkulima mzuri maana kuna ardhi yenye rutuba na kama unavyojua wasukuma sie huwa ni wachapa kazi sana. Pia cha kuongezea huko sio mji mkubwa sana ila kuna mzunguko wa kawaida wa pesa hasa kipindi cha mavuno.
 
Huko ni usukumani mkuu, ajiandae kuwa mkulima mzuri maana kuna ardhi yenye rutuba na kama unavyojua wasukuma sie huwa ni wachapa kazi sana. Pia cha kuongezea huko sio mji mkubwa sana ila kuna mzunguko wa kawaida wa pesa hasa kipindi cha mavuno.
Duhhh asante maana yeye kazaliwa mjini sasa sijui itakuwaje sijui atakimbia au?
 
Yupo idara gani? Kwa kilimo Ni kukavu tu huwa hakueleweki eleweki. Umeme sahzi upo,maji yapo na kuna kituo cha afya cha kuzugiazugia tu. Akaribie tu huko juzi juzi tu hapa jumamosi ilopita kuna Dada alionekana ilihali alifariki na kuzikwa mwezi Wa saba mwaka huu na hadi sasa yupo japo Akili zake zimechizi, waganga wanaendelea kuhangaika wanadai wana uwezo wa kurudisha Akili zake. Ni maisha tu lakini asiogope
 
Hujataja wilaya wala mkoa Maelezo yako ni hafifu mno
Huko ni usukumani mkuu, ajiandae kuwa mkulima mzuri maana kuna ardhi yenye rutuba na kama unavyojua wasukuma sie huwa ni wachapa kazi sana. Pia cha kuongezea huko sio mji mkubwa sana ila kuna mzunguko wa kawaida wa pesa hasa kipindi cha mavuno.
 
Back
Top Bottom