Simba lunyasi
JF-Expert Member
- Sep 28, 2022
- 385
- 840
Si mlishangilia Fei kwenda Azam? Mkisema kama mchezaji akipata malisho mazuri aruhusiwe kuondoka? basi huyu kapata malisho mzuri zaidi. Pia usianze kusema ni karma kumbe mna mpango wa kwenda kumloga.Kusema ukweli huyu mchezaji alikuwa ndio kipenzi cha wana Simba, yaani mwamba tulikupenda sana lakini ndio hivyo tena.
Tulikupa ufalme wa soka la nchi hii, tukakuimba na kulitaja jina lako kila mahali..
Kati ya timu zote duniani umekosa timu ya kwenda paka kuamua kwenda kwa hawa maadui zetu utopolo??
Sisi sio pepo tutakutana...........
Kaka uko too primitive. Hakuna usaliti wowote ni maamuzi yake. Wachezaji kibao tu wanahama timu zao ulaya, tena major players na watu hawalaani, grow up. Watakuja wachezaji wengine wataziba hiyo nafasiKusema ukweli huyu mchezaji alikuwa ndio kipenzi cha wana Simba, yaani mwamba tulikupenda sana lakini ndio hivyo tena.
Tulikupa ufalme wa soka la nchi hii, tukakuimba na kulitaja jina lako kila mahali..
Kati ya timu zote duniani umekosa timu ya kwenda paka kuamua kwenda kwa hawa maadui zetu utopolo??
Sisi sio pepo tutakutana...........
Tatizo sio kuhama kaka, tatizo unaamiaje kwa mpinzan wako wa jadi?Kaka uko too primitive. Hakuna usaliti wowote ni maamuzi yake. Wachezaji kibao tu wanahama timu zao ulaya, tena major players na watu hawalaani, grow up. Watakuja wachezaji wengine wataziba hiyo nafasi
Kwani hamkuweka hiko kipengele ktk mkataba wake ?Tatizo sio kuhama kaka, tatizo unaamiaje kwa mpinzan wako wa jadi?
Kwa huyo nadhani utasubiri sana.Moja wa mabadiliko muhimu kabisa ya kihamasa ndani ya simba ni kubadili MSEMAJI WA SIMBA...
Inatosha walishauza mechi acha aende huko wachezaji bado wapo bhanaKusema ukweli huyu mchezaji alikuwa ndio kipenzi cha wana Simba, yaani mwamba tulikupenda sana lakini ndio hivyo tena.
Tulikupa ufalme wa soka la nchi hii, tukakuimba na kulitaja jina lako kila mahali..
Kati ya timu zote duniani umekosa timu ya kwenda paka kuamua kwenda kwa hawa maadui zetu utopolo??
Sisi sio pipozi tutakutana...........
Nikabubujikwa na machozi sanaKusema ukweli huyu mchezaji alikuwa ndio kipenzi cha wana Simba, yaani mwamba tulikupenda sana lakini ndio hivyo tena.
Tulikupa ufalme wa soka la nchi hii, tukakuimba na kulitaja jina lako kila mahali..
Kati ya timu zote duniani umekosa timu ya kwenda paka kuamua kwenda kwa hawa maadui zetu utopolo??
Sisi sio pipozi tutakutana...........
WivuMoja wa mabadiliko muhimu kabisa ya kihamasa ndani ya simba ni kubadili MSEMAJI WA SIMBA...
Kwani hamumtaki golden voice.......wanathiiiimbaaaaMoja wa mabadiliko muhimu kabisa ya kihamasa ndani ya simba ni kubadili MSEMAJI WA SIMBA...