Mwamba haonyeki, kaanza kuyakanyaga!

Kwa hiyo unataka mwana akae single hadi lini? Akimiss utelezi unadhani inakuwaje?
Hujui kilichomkuta ndugu sie watu wake wa karibu twajua tatizo ni muda mfupi tu kayaanza tena!
 
Brother trust me kuku wameadimika vilingeni, ukiona mganga anakula kuku kipindi hiki hiyo ni bakshish ya Dec au ni broiler[emoji23]
Hatari sana mzimu wa Janu umeamua sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…