Magical power
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 2,158
- 5,626
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mkuuNacheka lakini naogopa
MkuuuMkuu mkuu
Mkuu kuna kitu kimetokea hapo unaweza jua ni kawaida ila kwa sisi wafatiliaji wa angel Time ni kitu kimoja kikubwa sana..Mkuuu
Mkuu nimenotice aisee imenifanya nicheke snaaaaaMkuu kuna kitu kimetokea hapo unaweza jua ni kawaida ila kwa sisi wafatiliaji wa angel Time ni kitu kimoja kikubwa sana..
Mda ambao wewe unaandika hiyi kauli ya ""nacheka lakini naogopa""
Mda huo huo na mimi nilikua naandika...
Uja notice kitu hapo mkuu 😂 😂 😂 😂
😂😂😂 Unajua ni kama tulikua tunawaza pamoja hviMkuu nimenotice aisee imenifanya nicheke snaaaaa
Kwann😂😂🤷🏽♂️Nacheka lakini naogopa
Ni kweli kabisa mkuu yaani tumewaza kitu kimoja kwa muda mmoja aisee tukio kama hili ni adimuu😂😂. Mkuu usikute tupo sehemu Moja me nipo tabata we wapi mkuu😂😂😂 Unajua ni kama tulikua tunawaza pamoja hvi
Mkuu mi nipo gongo la mboto ila nina mashangazi huko maeneo ya tabata aiseee 😂😂😂😂🙌 😂 🙌Ni kweli kabisa mkuu yaani tumewaza kitu kimoja kwa muda mmoja aisee tukio kama hili ni adimuu😂😂. Mkuu usikute tupo sehemu Moja me nipo tabata we wapi mkuu