machafuko jr
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 565
- 1,158
Mkuu huku mashangazi ni wakuzidi siku ukitembea pande hizi tusomane bana au Kuna shidoo In bambo voice ππππMkuu mi nipo gongo la mboto ila nina mashangazi huko maeneo ya tabata aiseee πππππ π π
π€£π€£π€£ππ....yaani huyu jamaa vituko kwelikweli....Mtango mbona unakunywi mchuzo wa pwezo una demoππ
Hapo tabata mi hom kabisa mkuu wee ngoja jpili hivi nikisogea tuu lazima niku chek anMkuu huku mashangazi ni wakuzidi siku ukitembea pande hizi tusomane bana au Kuna shidoo In bambo voice ππππ
Zembwela & MaxNakusaka saka sikuoni! π
Hizi kolabo ni balaa.
1. Senga & Pembe(R.i.p)
2. Mtanga & Bambo
3. Braza K & Sharo wa kihaya
Pamoja mkuuHapo tabata mi hom kabisa mkuu wee ngoja jpili hivi nikisogea tuu lazima niku chek an
Anapatikana nchi gani huyu mwamba?Mwamba huyu apa Bambo ni muigizaji mkongwe sana nchini Tanzania na hajawai kupoteza ubora kwenye kazi yake huyu mwamba achia msemo wake mmoja hapo β₯οΈπΊπ
View attachment 3139477
ππ€ππΎZembwela & Max
COINSIDENCEMkuu kuna kitu kimetokea hapo unaweza jua ni kawaida ila kwa sisi wafatiliaji wa angel Time ni kitu kimoja kikubwa sana..
Mda ambao wewe unaandika hiyi kauli ya ""nacheka lakini naogopa""
Mda huo huo na mimi nilikua naandika...
Uja notice kitu hapo mkuu π π π π
U star ni mbaya sana kama unaweza kuuepuka ukaishi maisha ya kawaida basi fanya hivyoMaisha anayoishi ni ya chini sana kuliko ustaa alionao daah umaskini ni mbaya
Sasa mkuu hii inatokea kwa sababu gani .COINSIDENCE
Kwa kimombo wanasemaga ivyo na inatokeaga Sanaa.
Umevaa dhati flan au tshirts unakutana na mtu nae kavaa vile vile
Una kaa Chini ya mti Ile unanyanyuka TU nyoka anadondoka ulipo kua umekaa
Unatoka ulipukua Ile unafika sehemu kwenye ukuta ukuta unakudondokea..
Unaweza kukutana na mtu sehemu bila kutarajia
Unawaza kumpigia simu mtu au kum text mtu unashanga Kapiga au kakutumia sms
Mambo ni mengi
AmercaAnapatikana nchi gani huyu mwamba?
Maana ni sura ngeni kwangu
Mkuu sio keki ya birthday kweli? πππ au ni tofauti na ile keki ya birthday aliyotumwa na Ben branco kupeleka kwa muogo-mchungu, akala keki zote njiani kumbe zina sumu, ππππTangu enzi za kina max,,swebe na zembwela kwenye igizo la keki ya harusi...ππ