Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Wanayanga tupo nyuma yako, tupo nawe bega kwa bega hadi mwisho. Hersi out
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UTAZANI WASIO JULIKANA POZI LAO
New young africans football club. President.Who is this guy......
hahaaa..Kaisema lini hii, ajiandae kuwajibishwa na chama chake.
Ama lah atakuja kuomba radhi kua alikua anatania tu kama yule chapombe.
Unajua mtu akilewa ndo huwa anaropoka kile anaamini kiukweli kweli.hahaaa..
Na ile video nape alikuwa amelewa ukichunguza unaona gestures zake.
Sure mkuu juzi kati nimelewa nikaropoka stori na mzee fulani nilikuwa tunabadilishana mawazo najuuta sana.Unajua mtu akilewa ndo huwa anaropoka kile anaamini kiukweli kweli.
Pombe inasingiziwaga tu ila inapush sana ule uhalisia wa mtu wa ndani kabisa, na kile kitu anapenda.
Hahahahaha hy style ya barghashia inaitwaje ?
Huyu sasa ndio nzee wa wananchi halisimzee tuna Imani na wewe.timu irudi kwa wazee,wapigaji hawana nafasi kwenye timu yetu