MWAMBA TUVUSHE

MWAMBA TUVUSHE

GUSA ACHIA BAHASHA GOLI

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2023
Posts
5,110
Reaction score
7,349
Mwamba tuvushe
Mwamba tuvushe
Mwamba tuvushe
Sacoss yetu inaenda kuharibiwa na toto tundu
Mwamba tuvushe
Mwamba tuvushe
Mwamba tuvushe
Sacoss yetu inaenda kufa kifo cha mende
Mwamba tuvushe
Mwamba tuvushe
Mwamba tuvushe
Asali unalamba mwenyewe tu
Mwamba tuvushe
Mwamba tuvushe
mwamba tuvushe
Heri ya mwaka mpya
1000211802.jpg
 
Toto tundu mkorofi sana kapiga rungu moja sacoss yote chali kumbe wanafaidi wao tu kina boni mayai viza ntobi na jasusi feki muuza bamia
HAlfu huku chini wanatuchangisha michango ya join the chain mbowe tapeli yule baba
Sio ninyi hapa jf mlikuwa mnasema mnachangia kwa mapenzi yenu makubwa juu ya chadema kuna yule mwanachadema kindaki ndaki wakutembeza bakuri leo yupo kimya
 
Sio ninyi hapa jf mlikuwa mnasema mnachangia kwa mapenzi yenu makubwa juu ya chadema kuna yule mwanachadema kindaki ndaki wakutembeza bakuri leo yupo kimya
NAjuta maumivu ni makali sana mwamba anaputisha barabara ya miba bila kujua halafu anatoka jela tu anaenda machame kufungua ghorofa lake
 
Kwa Jabari, Mwamba wa siasa za Upinzani haka ni ka upepo tu nako katapita.
Walikuja vigogo lakini wakatoka kwa aibu iweje huyu msema hovyo.
 
NAjuta maumivu ni makali sana mwamba anaputisha barabara ya miba bila kujua halafu anatoka jela tu anaenda machame kufungua ghorofa lake
Jamaa yupo anawajua watz vizuri na anajua weekness ipo wapi na anaitumia vzr sana unataka kuniambia chadema hakikuwa na hela ya kumlipa mwanasheria? Kesi ya bandari imeishia wapi?
 
Kwa Jabari, Mwamba wa siasa za Upinzani haka ni ka upepo tu nako katapita.
Walikuja vigogo lakini wakatoka kwa aibu iweje huyu msema hovyo.
Mwamba anakula mema ya nchi halafu anasema ana uchungu na chama kumbe pandikizi
Nayakumbuka maneno ya bi FaizaFixy mbowe ni mtu wa system
1000211802.jpg
 
Jamaa yupo anawajua watz vizuri na anajua weekness ipo wapi na anaitumia vzr sana unataka kuniambia chadema hakikuwa na hela ya kumlipa mwanasheria? Kesi ya bandari imeishia wapi?
We acha tu utapeli mwingi kule leo ntobi anamuita jebra taka taka?
 
Kwa Jabari, Mwamba wa siasa za Upinzani haka ni ka upepo tu nako katapita.
Walikuja vigogo lakini wakatoka kwa aibu iweje huyu msema hovyo.
Mbowe alishachokwa, mngekuwa mna akili mngemshauri asigombee.
Muda ni mwalimu mzuri, mwisho wake utakuwa kama wa cheyo au mrema
 
Back
Top Bottom