GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Mwamba analamba asali peke yake krismas hiiChadema washaonja
Wengine kamdomo kanawaponzaMwamba analamba asali peke yake krismas hii
Hao wakina ntobi na jasusi feki muuza bamia wa kigamboniWengine kamdomo kanawaponza
Kazi ipoHao wakina ntobi na jasusi feki muuza bamia wa kigamboni
Toto tundu mkorofi sana kapiga rungu moja sacoss yote chali kumbe wanafaidi wao tu kina boni mayai viza ntobi na jasusi feki muuza bamiaKazi ipo
Sio ninyi hapa jf mlikuwa mnasema mnachangia kwa mapenzi yenu makubwa juu ya chadema kuna yule mwanachadema kindaki ndaki wakutembeza bakuri leo yupo kimyaToto tundu mkorofi sana kapiga rungu moja sacoss yote chali kumbe wanafaidi wao tu kina boni mayai viza ntobi na jasusi feki muuza bamia
HAlfu huku chini wanatuchangisha michango ya join the chain mbowe tapeli yule baba
Hata yule mwili mkubwa akili ndogo kama kiini cha yai.Hao wakina ntobi na jasusi feki muuza bamia wa kigamboni
NAjuta maumivu ni makali sana mwamba anaputisha barabara ya miba bila kujua halafu anatoka jela tu anaenda machame kufungua ghorofa lakeSio ninyi hapa jf mlikuwa mnasema mnachangia kwa mapenzi yenu makubwa juu ya chadema kuna yule mwanachadema kindaki ndaki wakutembeza bakuri leo yupo kimya
Mzee wa treason act 🦧Hata yule mwili mkubwa akili kama kiini cha yai.
Jamaa yupo anawajua watz vizuri na anajua weekness ipo wapi na anaitumia vzr sana unataka kuniambia chadema hakikuwa na hela ya kumlipa mwanasheria? Kesi ya bandari imeishia wapi?NAjuta maumivu ni makali sana mwamba anaputisha barabara ya miba bila kujua halafu anatoka jela tu anaenda machame kufungua ghorofa lake
We acha tu utapeli mwingi kule leo ntobi anamuita jebra taka taka?Jamaa yupo anawajua watz vizuri na anajua weekness ipo wapi na anaitumia vzr sana unataka kuniambia chadema hakikuwa na hela ya kumlipa mwanasheria? Kesi ya bandari imeishia wapi?
Yaani! Mtu dhalili kabisa yule lkn kwasabb ya uchawa tu anaanza kutukana watu muhimu kama Kambole.We acha tu utapeli mwingi kule leo ntobi anamuita jebra taka taka?
Mbowe alishachokwa, mngekuwa mna akili mngemshauri asigombee.Kwa Jabari, Mwamba wa siasa za Upinzani haka ni ka upepo tu nako katapita.
Walikuja vigogo lakini wakatoka kwa aibu iweje huyu msema hovyo.