mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Mwambieni bwana mdogo Kuna Caf champions league "Cafcl" na kombe la malooser" CAF confederation cup 'cafcc'.
Tofauti zake ni kuwa Cafcl ni ligi kwaajili ya mabingwa tu na hyo nyingine ni kombe la shirikisho ni Kama viti maalumu tu vya wanawake pale bungeni..
Mwambieni ache kupoteza watu maboya kuwaambia kombe la CAF ,,hamna kitu Kama hocho CafCL ni dude kubwa sio Kama Cafcc
Tofauti zake ni kuwa Cafcl ni ligi kwaajili ya mabingwa tu na hyo nyingine ni kombe la shirikisho ni Kama viti maalumu tu vya wanawake pale bungeni..
Mwambieni ache kupoteza watu maboya kuwaambia kombe la CAF ,,hamna kitu Kama hocho CafCL ni dude kubwa sio Kama Cafcc