GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Ni jambo la kutafakari sana kuona Aston Villa ikicheza robo fainali za UEFA wakati Man United haijawahi kushiriki hata kwenye hatua ya mtoano tangu kuondoka kwa Sir Alex FergusonSiku ya Jumatatu Mo alivyotua tu kutoka Dubai anakoishi sana Chama anamsumbua tu hadi Mo kukereka. Abaki Yanga SC.
Kuna washirikina zaidi ya wale waliochoma moto uwanja south Africa? Pamoja na kuchoma bado waliondoshwa kwenye michuano!Alichagua pesa badala ya utu. By the way unawezaje kucheza timu iliyojaa washirikina na wasioheshimu hata wachezaji wake waliowasajili
Sio kweli, 2018/19 waliingia.Ni jambo la kutafakari sana kuona Aston Villa ikicheza robo fainali za UEFA wakati Man United haijawahi kushiriki hata kwenye hatua ya mtoano tangu kuondoka kwa Sir Alex Ferguson
Uto ni washirikina.Kuna washirikina zaidi ya wale waliochoma moto uwanja south Africa? Pamoja na kuchoma bado waliondoshwa kwenye michuano!
Unayempanulia kutwa hilo Nyabe lako.House boy wa Mwamedi buana 😀
Hii comment ungeisidikiza na picha ifuatayo.Kuna washirikina zaidi ya wale waliochoma moto uwanja south Africa? Pamoja na kuchoma bado waliondoshwa kwenye michuano!
Ana UEFA huyo... Ambalo hata Asernal hana.Ni jambo la kutafakari sana kuona Aston Villa ikicheza robo fainali za UEFA wakati Man United haijawahi kushiriki hata kwenye hatua ya mtoano tangu kuondoka kwa Sir Alex Ferguson