Mwambieni Muokoaji na Shujaa wenu wa Taifa Majaliwa Jackson akazame katika Majivu ili azipate

Mwambieni Muokoaji na Shujaa wenu wa Taifa Majaliwa Jackson akazame katika Majivu ili azipate

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
"Nautaka Uongozi wa Soko la Kariakoo uniletee Nyaraka zote za Soko hili kabla halijaungua July 10 mwaka jana" Waziri TAMISEMI Angellah Kairuki.

Chanzo: TAMISEMI

Akishindwa naomba mniahidi GENTAMYCINE kuwa nikivipata kwa Kuzamia katika Majivu na Kifusi nami mtanichangia Pesa, mtaniita Shujaa na Kunialika Bungeni huku mkiwa mmeninunulia Suti za Kisutu kwa Fundi Zuberi sawa?
 
Na wewe utapewa askari wa kukulinda na SMG maana utakuwa umerisky mnoo 😂

Is Madame Kairuki okey??
 
Ila watanzania tuna roho mbaya...

Bora nilivyoachaga kusema mafanikio yangu kwa watu hadi ndugu...


Watu hawapendi watu wakifanikiwa
 
Nadhani wewe ni miongoni mwa wale watanzania wenye matatizo ya akili walio zungumziwa na Umi!!
 
Kuna dhahabu imekamatwa India, nyie potezeweni maboya kwa mambo madogo madogo , Hivi ile Almas kuuuubwa iliouzwa Dubai tume ilileta majibu yoyote ilifikaje pale??? Nchi ya wadanganyika ni shida sana hii.
 
Iga ufe
!
ukzama kwenye majivu sisi tunasimika msalaba tu
 
Ungekuwa na akili ningesema unaelekea kuchanganyikiwa, itoshe tu kusema mdudu keshaingia kwenye embe.
 
Makala fikirishi naona wachangaiaji wengi mmepigwa dafrao...

Hoja yake ya msingi anazungumzia Ufisadi hapo kwenye Soko la Kariakoo baada ya Soko kuungua...
 
Majaliwa alimgonga mtoa mada hakumpa hela ndio maana mtoa mada ana jealousy.
Move on mtoa mada.
 
Back
Top Bottom