Makonde plateu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 1,443
- 3,480
Unjani sabuwona
Mzee msambaa anajimwambafai na kujitapa sana sijui kwanini anajitapa hivi labda unapiga kelele ili mwanae aendelee kulamba asali zaidi au ndiyo anajiona yeye ni wenye chama au?
Nimeona interview moja anamkaripia mwandishi mmoja baada ya kumuuliza swali murua halafu yeye anajibu kihovyo hovyo sana aisee kiukweli amenichefua sana.
Dunia kulikuwa na watu mashuhuri na wenye nguvu sana firauni, Hitler , John Kennedy , malikia Elizabeth n.k ila sasa wako wapi?
Mzee msambaa usijimwambafai kuna maisha baada ya hapa.Ccm si mama yake au baba yake. Asipende kuropoka na kutumia vifungu vya dini ili tumuone yeye ni extra ordinary sanaa kumbe ni mchumia tumbo tu.
Mzee msambaa anajimwambafai na kujitapa sana sijui kwanini anajitapa hivi labda unapiga kelele ili mwanae aendelee kulamba asali zaidi au ndiyo anajiona yeye ni wenye chama au?
Nimeona interview moja anamkaripia mwandishi mmoja baada ya kumuuliza swali murua halafu yeye anajibu kihovyo hovyo sana aisee kiukweli amenichefua sana.
Dunia kulikuwa na watu mashuhuri na wenye nguvu sana firauni, Hitler , John Kennedy , malikia Elizabeth n.k ila sasa wako wapi?
Mzee msambaa usijimwambafai kuna maisha baada ya hapa.Ccm si mama yake au baba yake. Asipende kuropoka na kutumia vifungu vya dini ili tumuone yeye ni extra ordinary sanaa kumbe ni mchumia tumbo tu.