Deadbody
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 4,274
- 6,595
Mwambien pep kuwa EPL kuna big match nne yaan
vs Man untd
vs Arsenal
vs Liverpool
vs Chelsea
alfu kuna mechi tano za wabishi wa ligi
vs Totenham
vs Southampton
vs Everton
vs Stoke
vs Westham
yaaan hawa jama hata uwe mgumu vipi lazim mmoj wao akufunge
alfu kuna mechi tatu na watu wenye bahati na ligi
vs Leicester
vs Sunderland
vs westbrom
na kuna mmoja kashuka daraja anaitwa wigan
yaan hawa jama kazi yao kuchukua poit moj moja tu kutoka kweny timu za big four ili mradi wabaki kweny ligi
Pep karbu sana epl huku hakuna granada wala levante.....ila huku kuna crystal palace ambao wana uwezo wa kumiliki mchezaj mweny thamani ya paund milion 30 plus mshahara paund 120000
Karibu katika ulimwengu wa vita na sio ligi kama ulivyozoea
vs Man untd
vs Arsenal
vs Liverpool
vs Chelsea
alfu kuna mechi tano za wabishi wa ligi
vs Totenham
vs Southampton
vs Everton
vs Stoke
vs Westham
yaaan hawa jama hata uwe mgumu vipi lazim mmoj wao akufunge
alfu kuna mechi tatu na watu wenye bahati na ligi
vs Leicester
vs Sunderland
vs westbrom
na kuna mmoja kashuka daraja anaitwa wigan
yaan hawa jama kazi yao kuchukua poit moj moja tu kutoka kweny timu za big four ili mradi wabaki kweny ligi
Pep karbu sana epl huku hakuna granada wala levante.....ila huku kuna crystal palace ambao wana uwezo wa kumiliki mchezaj mweny thamani ya paund milion 30 plus mshahara paund 120000
Karibu katika ulimwengu wa vita na sio ligi kama ulivyozoea