Hahahaha.....patakuwa patamu sanaBenitez yuko na New Castle uko Championship anawawashia moto ile mbaya. Msimu unaokuja atarudi EPL
Pep ajipange upya, EPL huwezi kushinda mechi 15 mfululizo kama alivyokuwa anafanya ligi nyepesi za La Liga na Bundesliga.
Na ndio itakuwa sumu yake. Mou na Fergie wanacheza kwanza kwenye vyombo vya habari kabla ya siku ya game. Maskini Pep mambo hayo hana. Nakumbuka kuna kipindi Fergie aligoma kuhojiwa na BBC kwa miaka kadhaa sababu hio hio ya kupenda kucheza game kabla ya siku yenyeweHahahaha halafu pep inaonekana hajui kuua gem nje ya uwanja hana ile mikwara ya morinyo, fergie, kabla yagem
Weeeeeee ndio umepotea na si benitezFergie, Mou na Benitez ndo wanaijua hiyo ligi vizuri. Makocha wengine wanaonewa tu maskini. Bahati mbaya sana Benitez kajipoteza kiaina
Hahahaha....nakumbuka alipiga 10 straight, now kapigwa 6 straight loose and draw. Vyombo vya habari vinamng'ang'ania shingoni kwa sasaHahahaha pep akipigwa gem tano mfululizo anaweza resign yule, roho ya paka hana yule
Wenger haongezi mkataba na huu ndio msimu wake wa mwisho...Halafu mkikutana na Wenger kwenye korido za Emirates mwambie huu ndio msimu wake pekee wa kunyanyua ndoo. Nasema hvyo kwa sababu si Man U si Man C si Chelsea si Liver si Tot wanaojielewa. Bado kila mmoja wao anatanga na njia. Na kama mzee akishindwa kuweka mambo sawa msimu huu basi asahau kabisa, maana msimu ujao Man U na Man C na Liver watakuwa imara sana.
Ni hayo tu
Kesho yupo away na westbrom waliojeruhiwa na liva.....mbona kitawaka hukoPep ajipange upya, EPL huwezi kushinda mechi 15 mfululizo kama alivyokuwa anafanya ligi nyepesi za La Liga na Bundesliga.
Mzee mbishi yuleWenger haongezi mkataba na huu ndio msimu wake wa mwisho...
alishindwa chukua mbele ya leicester ataweza sasa ivi
Wenger sio overrated bali alikuwa anafanya kazi kulingana na ukubwa wa kikosi chake, sasa we ulitaka abebe kombe la uefa kwa kushindana na team kama barca, madrid, juve, man u, chelsea, bayern au psg? Acha unafki kwa muda mrefu sana wenger amekuwa na kikosi ambacho hakiwezi kushinda mataji makubwa, na ndiomaana kipindi kile miaka ya 2004-2006 alifika fainali ya uefa kwakuwa alikuwa na kikosi cha wachezaji wazuriWenger ni overrated. Uwezi kumuweka kwenye levo moja na Pep au Mourinho. Makocha waliochukua makombe ya kila aina wakati yeye hana kombe lolote la Ulaya.
Ubishi mwingine buana.....haya ongea kuhusu 'ughali' wa kikosi cha Leicester kilichobeba EPLWenger sio overrated bali alikuwa anafanya kazi kulingana na ukubwa wa kikosi chake, sasa we ulitaka abebe kombe la uefa kwa kushindana na team kama barca, madrid, juve, man u, chelsea, bayern au psg? Acha unafki kwa muda mrefu sana wenger amekuwa na kikosi ambacho hakiwezi kushinda mataji makubwa, na ndiomaana kipindi kile miaka ya 2004-2006 alifika fainali ya uefa kwakuwa alikuwa na kikosi cha wachezaji wazuri
Baada ya hapo ye alichokuwa anafanya ni kuhakikisha anafanya biashara ya kuingiza hela ili walipe deni la kujenga uwanja na baada ya hapo ndio kaanza kununua wachezaji ghari kama kina sanchez, ozil, xhaka, mustafi na wengine, sasa ukisema eti wenger ni overrated sikuelewi labda kama we unaijua maana tofauti ya hilo neno
Acha ubishi wa kijinga kwahiyo kushinda kwa Leicester ligi ndo kunafanya wenger awe overrated? Kwani wakati Leicester wanashinda ligi hao makocha ambao sio overrated kina mou walikuwa wapi? Sometimes kushinda taji ni bahati tu kama ilivokuwa kwa Chelsea na dimateo kwenda kushinda uefa ila sio kweli kwamba walikuwa bora kuliko team zingineUbishi mwingine buana.....haya ongea kuhusu 'ughali' wa kikosi cha Leicester kilichobeba EPL
Wenger sio overrated bali alikuwa anafanya kazi kulingana na ukubwa wa kikosi chake, sasa we ulitaka abebe kombe la uefa kwa kushindana na team kama barca, madrid, juve, man u, chelsea, bayern au psg? Acha unafki kwa muda mrefu sana wenger amekuwa na kikosi ambacho hakiwezi kushinda mataji makubwa, na ndiomaana kipindi kile miaka ya 2004-2006 alifika fainali ya uefa kwakuwa alikuwa na kikosi cha wachezaji wazuri
Baada ya hapo ye alichokuwa anafanya ni kuhakikisha anafanya biashara ya kuingiza hela ili walipe deni la kujenga uwanja na baada ya hapo ndio kaanza kununua wachezaji ghari kama kina sanchez, ozil, xhaka, mustafi na wengine, sasa ukisema eti wenger ni overrated sikuelewi labda kama we unaijua maana tofauti ya hilo neno
Kwa ligi ya England sio swala la kubeza kwa wenger kumaliza kila msimu top four ikiwa makocha kibao wao wameshindwa, na amekuwa akifanya hivi kila mwaka ili tu apate hela za uefa ili afikie lengo la club
Ndio maana hadi leo hii Arsenal wana mashabiki. Wengi wenu ni vihiyo.Acha ubishi wa kijinga kwahiyo kushinda kwa Leicester ligi ndo kunafanya wenger awe overrated? Kwani wakati Leicester wanashinda ligi hao makocha ambao sio overrated kina mou walikuwa wapi? Sometimes kushinda taji ni bahati tu kama ilivokuwa kwa Chelsea na dimateo kwenda kushinda uefa ila sio kweli kwamba walikuwa bora kuliko team zingine
Aina ya ushindaji wa kombe kwa Leicester ni kutokana na team pinzani kwanza kuwadharau na pia wao kuwa na spirit ya ushindi mwanzo wa ligi hadi mwisho wa ligi, na kuna team zimewahi kufanya hvo kama Blackburn, Aston Villa, Newcastle, ila sio kusema eti Leicester walikuwa wazuri kuliko Chelsea, man city au arsenal ila upepo tu ulikuwa wao
Hebu nambie kwanini unasema wenger ni overrated? Tuanzie hapo kwanza maana mada haihusiani na wengerKweli mashabiki wa Arsenal ni vihiyo. Atletico Madrid wana bajeti ndogo zaidi ya Arsenal ma wana kikosi kidogo zaidi ya Arsenal lakini wameingia fainali mara mbili ndani ya miaka mitatu. Uyo Mzee wenu yeye anaishia 16 bora miaka nenda rudi,anamaliza nafasi ya 4 akijitahidi sana anamaliza ya 3/2. Wenger ni Overrated. Period
Hebu nambie kwanini unasema wenger ni overrated? Tuanzie hapo kwanza maana mada haihusiani na wenger
Unaelewa maana ya overrated?Miaka 12 ajabeba EPL wala kombe lolote kubwa.
Unaelewa maana ya overrated?
Umesahau kumwambia kuwa Granada na Levante wakija EPL hawatabanduka kwenye top four kama sio kuchukua ndoo....!Mwambien pep kuwa EPL kuna big match nne yaan
vs Man untd
vs Arsenal
vs Liverpool
vs Chelsea
alfu kuna mechi tano za wabishi wa ligi
vs Totenham
vs Southampton
vs Everton
vs Stoke
vs Westham
yaaan hawa jama hata uwe mgumu vipi lazim mmoj wao akufunge
alfu kuna mechi tatu na watu wenye bahati na ligi
vs Leicester
vs Sunderland
vs westbrom
na kuna mmoja kashuka daraja anaitwa wigan
yaan hawa jama kazi yao kuchukua poit moj moja tu kutoka kweny timu za big four ili mradi wabaki kweny ligi
Pep karbu sana epl huku hakuna granada wala levante.....ila huku kuna crystal palace ambao wana uwezo wa kumiliki mchezaj mweny thamani ya paund milion 30 plus mshahara paund 120000
Karibu katika ulimwengu wa vita na sio ligi kama ulivyozoea
nakumbuka sana kipindi hichoMm siku zote najua soka la Mou ni la kihuni sana. Nakumbuka mara ya kwanza kutua la liga pep na barca yao wakampiga bao 6, lakini mwisho wa siku Pep kakimbia ligi shauri ya Mou. Na ndo maana namuonea huruma Conte na Chelsea yake