Mwambieni Yusuph Dabo kama anataka kutoboa makundi CAFCL acheze kikanuni asicheze kimazoea

Mwambieni Yusuph Dabo kama anataka kutoboa makundi CAFCL acheze kikanuni asicheze kimazoea

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
4,701
Reaction score
11,920
Mashindano ya CAF yote ni mashindano ya kikanuni,
Timu nyingi zilizofanikiwa hucheza kikanuni.

Miguel Gamond mechi yake ya kwanza alicheza kimazoea kule Algeria Yanga ikapokea kichapo cha mbwa koko,
Nakumbuka hiyo siku akina yao yao na wenzake walikuwa wanapanda kushambulia bila tahadhari yaani wanajazana mbele wanajisahau kurudi nyuma kilichotokea sasa Yanga possesion 70% ila no goal wakati huo Belouzdad 30% magoal matatu

Tangu hiyo siku Gamond akawa na adabu, akawa mjanja ukiangalua uchezaji wa Yanga huko CAFCL na uchezaji wa yanga hapa NBC ni tofauti kabisa.

Sasa huyu Yusuph Dabo anaukuta mbovu akileta mazoea ya NBCPL huko CAFCL atapata aibu ya mwaka round ya kwanza au ya pili

Ila akitaka atoboe aangalie wakubwa wanavyofanya.

Azam wanatabia ya kujazana mbele kichwa kichwa kama askari wa vietnam wale wa kwenye movie

Nawasilisha
 
Mashindano ya CAF yote ni mashindano ya kikanuni,
Timu nyingi zilizofanikiwa hucheza kikanuni.

Miguel Gamond mechi yake ya kwanza alicheza kimazoea kule Algeria Yanga ikapokea kichapo cha mbwa koko,
Nakumbuka hiyo siku akina yao yao na wenzake walikuwa wanapanda kushambulia bila tahadhari yaani wanajazana mbele wanajisahau kurudi nyuma kilichotokea sasa Yanga possesion 70% ila no goal wakati huo Belouzdad 30% magoal matatu

Tangu hiyo siku Gamond akawa na adabu, akawa mjanja ukiangalua uchezaji wa Yanga huko CAFCL na uchezaji wa yanga hapa NBC ni tofauti kabisa.

Sasa huyu Yusuph Dabo anaukuta mbovu akileta mazoea ya NBCPL huko CAFCL atapata aibu ya mwaka round ya kwanza au ya pili

Ila akitaka atoboe aangalie wakubwa wanavyofanya.

Azam wanatabia ya kujazana mbele kichwa kichwa kama askari wa vietnam wale wa kwenye movie

Nawasilisha
Kocha wa Azam huwa simuelewi, naona kama timu imemzidi.
 
Mashindano ya CAF yote ni mashindano ya kikanuni,
Timu nyingi zilizofanikiwa hucheza kikanuni.

Miguel Gamond mechi yake ya kwanza alicheza kimazoea kule Algeria Yanga ikapokea kichapo cha mbwa koko,
Nakumbuka hiyo siku akina yao yao na wenzake walikuwa wanapanda kushambulia bila tahadhari yaani wanajazana mbele wanajisahau kurudi nyuma kilichotokea sasa Yanga possesion 70% ila no goal wakati huo Belouzdad 30% magoal matatu

Tangu hiyo siku Gamond akawa na adabu, akawa mjanja ukiangalua uchezaji wa Yanga huko CAFCL na uchezaji wa yanga hapa NBC ni tofauti kabisa.

Sasa huyu Yusuph Dabo anaukuta mbovu akileta mazoea ya NBCPL huko CAFCL atapata aibu ya mwaka round ya kwanza au ya pili

Ila akitaka atoboe aangalie wakubwa wanavyofanya.

Azam wanatabia ya kujazana mbele kichwa kichwa kama askari wa vietnam wale wa kwenye movie

Nawasilisha
Magoli yote ya CR Algeria yalikuwa ya Metacha. Hakuna kila pale
 
Yusuph Dabo ni Kocha wa kawaida japo kuwa kaibua vipaji vya kina Sakho na vijana wengine wa u20 ya senegal anasoka flani la kitaratibu pasi nyingi zizizofungua ukuta wa wapinzani na kukosa ubunifu hana plan B anapofeli plan A,Kikosi Kizuri uwajibikaji ndio unakosekana kuanzia kwa kocha mpaka kwa wachezaji....wakijirekebsha hasa kwenye ulinzi Azam fc itatisha sana.
 
Yusuph Dabo ni Kocha wa kawaida japo kuwa kaibua vipaji vya kina Sakho na vijana wengine wa u20 ya senegal anasoka flani la kitaratibu pasi nyingi zizizofungua ukuta wa wapinzani na kukosa ubunifu hana plan B anapofeli plan A,Kikosi Kizuri uwajibikaji ndio unakosekana kuanzia kwa kocha mpaka kwa wachezaji....wakijirekebsha hasa kwenye ulinzi Azam fc itatisha sana.
Kwahiyo Bruno ferry yupo tu kama zuzu, Hana anachofanya
 
Leo naona azam wameanza kukaba kama yanga safi sana
 
Back
Top Bottom