Mwamedi bilioni ishirini yetu

Candela

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2021
Posts
817
Reaction score
2,180
Baada ya Mwamedi kuwauza wachezaji muhimu wa Timu yetu na kurudisha pesa yake ameamua kujiuzulu. Tunataka bilioni ishirini yetu mwamedi acha uswahili.
 
MO kama vipi logo yake kwenye jezi ya simba ifutwe haraka sana...
 
Nini nyinyi Utopolo embu kaondoeni urasimu wa jezi kwa gsm anaewapa 700 kwa kila mauzo ya jezi moja.
 
Nyie mbona kama mnataka matusi kutoka kwa mikia wenzenu.
 
Baada ya Mwamedi kuwauza wachezaji muhimu wa Timu yetu na kurudisha pesa yake ameamua kujiuzulu. Tunataka bilioni ishirini yetu mwamedi acha uswahili.
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Baada ya Mwamedi kuwauza wachezaji muhimu wa Timu yetu na kurudisha pesa yake ameamua kujiuzulu. Tunataka bilioni ishirini yetu mwamedi acha uswahili.
kama vipi aondoke tu atuachie timu yetu πŸ˜€ πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…