Mwamedi ndiye alizivuruga Africans Lyon na singida united

Tupambane sasa asje akaishusha na makolokolo fc yetu sasa tatzo Sisi ni mambumbu hata rage anatujua
Toka mmechomekwa mwiko uko matakoni akili zimewaruka,kapumbu aliuchomoa akakukojolea akaurudisha tena, shwain utopolo
 
Minyani inafukuzana kufungua nyuzi,mijitu mwitu mitopolo, inashida sana, ukiikuta inabweka utashangaa sana!!inabweka mpaka inatoa machozi, Minyani imeshasahau kuwa GSM aliishusha daraja majimaji FC!!!
Hawawezi kuliona hilo. Wapo na kumshupalia Mo anaeweka hela wanasahau ya kwao manyanini huko. Tarehe 12/09/2021 watapigwa hawa balaaa
 
Hawawezi kuliona hilo. Wapo na kumshupalia Mo anaeweka hela wanasahau ya kwao manyanini huko. Tarehe 12/09/2021 watapigwa hawa balaaa
Minyani toka MO ameingia Simba imepagawa sana,miaka minne haina hata kikombe cha kahawa,imebaki kurukiana TU.
 
Minyani toka MO ameingia Simba imepagawa sana,miaka minne haina hata kikombe cha kahawa,imebaki kurukiana TU.
Acha tarehe 12 kesho kutwa wataanza kugawana nguo maana wakifungwa hawatavumiliana. Ndipo yatajistukia
 
gsm ni mjanja mjanja tu,pesa ya uhamisho wa Shaban Djuma ajalipa,As Vita wamempiga pini asicheze mechi za kimataifa.
Acha wakija jitambua watajikuta nafasi ya 100
 
Sisi makolo fc tusipokuwa makini na mwamedi anajimilikisha timu
Ajimilikishe mara ngapi? Huoni kaishachukua uwanja na yale matambara ya deki wanayoyaita jezi kajaza matangazo ya biashara zake
 
Ni kiswahili au mimi sijui kusoma na kukielewa kiswahili?

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…