Dalali wa mjini
JF-Expert Member
- Oct 5, 2024
- 326
- 464
- Thread starter
-
- #101
Haya mambo hayana ujasiriMinilimwacha tu..hata bila kumsamehe alipo nitamkia tu ukisusa Kuna mwingine anaenda kula ..sijamtafta tena nikamlia bat mpaka Leo sipend kujaribiiwa mm
490
Bila hata kujiulizaHiyo haipo hiyo.Fukuzilia mbali.
ItakuwaUmetombewer?
Ndio mana akePiga nyama chini
Achana naeNdio mana ake
Vijana watafute sana hela na sio kukimbilia kuoaAchana nae
Kuoa kuna changamoto nyingi mkuuVijana watafute sana hela na sio kukimbilia kuoa
Changamoto kubwa ipo kwenye usaliti Kwa Hawa wanawake zetu na Hilo ndio kesi kubwa katika ndoa.Kuoa kuna changamoto nyingi mkuu
Habari zenu wakuu.
Nauliza hivi Kwa Sisi WANAUME
Je, mwanamke msaliti anasemehewa?
Mzee wangu kwahiyo bado unaumia tu ndani kwa ndani?Bro" ni kupaangalia options zako, na aliyofanya, ukishakuwa na watoto wa 2 au zaidi, tafakari sana sana na usisikilize mawazo ya vijiweni!
Kama ujaoa au una mtoto mmoja, kimbia haraka sana wala usigeuke nyuma!
Kusamehe ni safari ngumu kuliko ya wana wa Israle kuelekea nchi ya ahadi, Mimi nimesamehe Nina mwaka wa 8 huu, ila Bado nakumbuka!
Kikubwa ni kuwa na misimamo thabiti kama mwanaume,kuwa na maamuzi magumuChangamoto kubwa ipo kwenye usaliti Kwa Hawa wanawake zetu na Hilo ndio kesi kubwa katika ndoa.
Wanaume inatakiwa tuwe na furaha kipindi hiki mana wao wanataka pesa zetu.Kikubwa ni kuwa na misimamo thabiti kama mwanaume,kuwa na maamuzi magumu
Ni kweli ila na wanawake wanakupima kwanza kuona misimamo yako akiona hutetereki ni mara chache sana kufanya upumbavWanaume inatakiwa tuwe na furaha kipindi hiki mana wao wanataka pesa zetu.
Sasa tuendelee kuwanunua ili wasipate upenyo wa kuingia katika Maisha yetu. Mambo ya ndoa ni magumu lakini mepesi kiasi chake ukimpata yule ambaye hasikilizi kwao wanamwambia nini.
Yeye husikia neno la mumewe tu na sio mtu mwingine.Wanawake Hao wapo wachache sana Kwa Sasa
Upo sahihi Mzee wangu.Ni kweli ila na wanawake wanakupima kwanza kuona misimamo yako akiona hutetereki ni mara chache sana kufanya upumbav
Hatari kabisa mana nimuuajiMsaliti ananyongwa mkuu