Ameuza mali kwa kutegemea akipata atarudisha mali zakeKanusurika kifo kisa udiwani[emoji848][emoji1562]
Jr[emoji769]
Huyu hapahapo ujue wajumbe wamekula pesa ya shamba alilouza.
Mtindo ulioanzishwa wa kuhesabu Kura hadharani ni mzuri sana Ila ulitakiwa uanze kutumikia kumchagua mgombea urais kupitia chama tawala majina yakiwa zaidi ya moja au wanachama wakiwa wengi waliogombea nafasi hiyo, pili mtindo huo unatakiwa utumike kwa uchaguzi mkuu wa October mwaka huu.Mtia nia Udiwani katika Kata ya Mwamkulu iliyopo Manispaa ya Mpanda ambaye amepata kura 5 nusura apoteze fahamu baada ya kuanguka ghafla alipokuwa akitazama karatasi za kura za Mtiania Kalip Katani anaye tetea Udiwani.
Mtia nia huyo ameishiwa nguvu wakati anaona karatasi nyingi zina muelekea Kalip Katani . Mpaka dakika ya mwisho Kalipi Katani amepata Kura 69 kati ya kura 75 halali kutoka kwa wajumbe akifuatia na Mtia nia aliyepata kura 5 mwingine akijizolea kura 1.
View attachment 1518118
"Wajumbe sio watu, ni wajuba" In Steven's voice.Huyo alibet vibaya, kaliwa na wajumbe.