Mwamposa ahudhuria uzinduzi wa Album ya Harmonize

Mwamposa ahudhuria uzinduzi wa Album ya Harmonize

Arnold Kalikawe

Senior Member
Joined
Sep 28, 2016
Posts
152
Reaction score
374
Mchungaji Mwaposa ameonekana Katika tamasha la uzinduzi wa Album ya Harmonize kitu kilichozua maswali. Mwamposa ni mchungaji kitu ambacho kinamfanya asiwe mpenzi wa nyimbo nyingi za Harmonize kwa sababu haziendani na maadili ya kikristo, licha ya hilo Harmonize ni Muislam tofauti na mwamposa, wadau wametafuta sababu au Connection ya dots ya kufanya Mwamposa audhurie tamasha hilo ila wamekosa majibu


View: https://www.instagram.com/reel/C7ZgugMNwD7/?igsh=MXVhbjM2ZXI4NnlhOA==
 
Mchungaji Mwaposa ameonekana Katika tamasha la uzinduzi wa Album ya Harmonize kitu kilichozua maswali. Mwamposa ni mchungaji kitu ambacho kinamfanya asiwe mpenzi wa nyimbo nyingi za Harmonize kwa sababu haziendani na maadili ya kikristo, licha ya hilo Harmonize ni Muislam tofauti na mwamposa, wadau wametafuta sababu au Connection ya dots ya kufanya Mwamposa audhurie tamasha hilo ila wamekosa majibu


View: https://www.instagram.com/reel/C7ZgugMNwD7/?igsh=MXVhbjM2ZXI4NnlhOA==

Mwamposa hana kanisa (church) bali ana huduma (ministries).

Huduma ni kwa ajili ya watu wa dini zote kwa jina la Yesu.

Umeelewa?
 
Manabii wa kisasa hawa!! msishangae kwani na yeye ni binadamu kuona vi mini vya kima dada na yale makelele ya semaa yoooooo - si dhambi maana anawasaka kondoo waliopotea.
 
IMG-20240514-WA0350.jpg
 
Haaoo.!!

Hawaogopi hata kusema hukumu imekaribia!
Na wachungaji wa dini hata wao pia!
Wanatunzwa na wanaotengeneza bia!

Wanachachanganywa na wanaofagilia, maovu na starehe za kupita hii dunia.!!
 
Nchi yetu Bado changa 🤣 🤣

Imagine Watu wote maarufu Hadi Rais wanatosha kwenye ukumbi mmoja
 
Mchungaji Mwaposa ameonekana Katika tamasha la uzinduzi wa Album ya Harmonize kitu kilichozua maswali. Mwamposa ni mchungaji kitu ambacho kinamfanya asiwe mpenzi wa nyimbo nyingi za Harmonize kwa sababu haziendani na maadili ya kikristo, licha ya hilo Harmonize ni Muislam tofauti na mwamposa, wadau wametafuta sababu au Connection ya dots ya kufanya Mwamposa audhurie tamasha hilo ila wamekosa majibu


View: https://www.instagram.com/reel/C7ZgugMNwD7/?igsh=MXVhbjM2ZXI4NnlhOA==

2Wakorinto 6:14-16
Msiambatane pamoja na watu wasioamini. Kwa maana kuna uhusiano gani kati ya haki na uovu? Au kuna ushirika gani kati ya nuru na giza? 15 Kuna kuelewana gani kati ya Kristo na shetani? Mwamini ana uhusiano gani na asiyeamini? 16 Kuna uelewano gani kati ya hekalu la Mungu na sanamu?
Then you can figure it by yourself kama ni mtumishi kweli au wa mchongo😆😆😆
 
Hawa kina mwamposa na wenzake wa aina yake walikuwa ni wapentekoste typically, waliondoka huko kwenye upentekoste wakaanzisha huduma zao na kwa imani zao mpya. Wapentekoste og wapi na wapi mambo ya muziki wa kidunia? Soon harmo atapata ualiko kwa mzee wa ngurumo ya upako huko arusha akatuzwe kama kawaida yake kuna wimbo utampendeza mzee wa ngurumo. Kumbuka kuna mzee wa upako na ngurumo ya upako, hawa wote wanafanana abrakadabra zao na wana media zao kukamata watazamaji wao.
 
Back
Top Bottom