Mwamposa ameshindikana kumejaa, kumetema, kumetapika wa kumuweza huyu jamaa ni Pope Francis mwenyewe

Mwamposa ameshindikana kumejaa, kumetema, kumetapika wa kumuweza huyu jamaa ni Pope Francis mwenyewe

kiss daniel

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2019
Posts
758
Reaction score
2,062
Amani kwenu watumishi

Huyu mwamposa kashindikana

Kwa sasa dunian wa kushindana naye ni pope Francis mwenyewe hakuna tena mwingine

Hata shetani hawezi kujaza watu kama anaojaza mwamposa

Hata Trump hamuwezi huyu jamaa

Acha injili ihubiliwe
Acheni kuhukumu hakimu ni MWENYEZI MUNGU

Ipo siku atakuja mwanakondoo KRISTO YESU yeye mwenyewe ndo tutakapojua kuwa tofaut ya ngano na magugu

Nb mimi niko zangu ndani natazamia kwenye TV ya kwa jilan nikisema Nina tv huo ni uongo tv Sina ghetto kwangu , MUNGU ndo anajua maisha yangu

Asanten sana
 
Amani kwenu watumishi

Huyu mwamposa kashindikana

Kwa sasa dunian wa kushindana naye ni pope Francis mwenyewe hakuna tena mwingine

Hata shetani hawezi kujaza watu kama anaojaza mwamposa

Hata Trump hamuwezi huyu jamaa

Acha injili ihubiliwe
Acheni kuhukumu hakimu ni MWENYEZI MUNGU

Ipo siku atakuja mwanakondoo KRISTO YESU yeye mwenyewe ndo tutakapojua kuwa tofaut ya ngano na magugu

Nb mimi niko zangu ndani natazamia kwenye TV ya kwa jilan nikisema Nina tv huo ni uongo tv Sina ghetto kwangu , MUNGU ndo anajua maisha yangu

Asanten sana
Mnammaliza mwenzenu
 
Pesa anayoingiza huyo mshikaji ni pesa Mingi, sana Pesa Hiyo Yote ni Mali yake, amefanya uwekezaji mkubwa, Magari yalikua yanatangaza Dar nzima nimesikia matangazo yake.
Amewekeza Pesa lazima irudi maana
1. Sadaka
2.Maji
3.Mafuta
4.Zaka
5.Sadaka ya Kujimaliza
6.Vipeperushi
7.Karatasi ya kuandika maombi.
8.Shukrani.
Note: Hizo zote ni Njia za kuingiza Pesa. Huyo jamaa ni Bilionea, Mi Binafsi namsifu ametumia akili Sana kuteka Akili na Hisia za watu, watu wanatoa Pesa kwa hiyali yao Yeye anakua Tajiri maradufu.
Kiuhalisia Jamaa ni Bilionea.
Hongera, Hongera,Hongera Hii Akili safi sana Unakula Pesa kwa Maiki na Sautii.... imeishaaa hiyooooo
 
Sasa mlijua shetan Kuna siku mtamuona kwa sura ipi?, ama humu Kuna mtu ambaye anaweza kutuambia shetani Yuko vipi?, au hata dini zenu ziliwaambia shetani atajifunua vipi??,

yaani shetani yule aliyewapotosha watakatifu wa kale, aliyewatikisa mpaka manabii na mitume then aje ashindwe na mtu wa zama hizi ambazo zimejawa uozo Kila mahala?

Shetani ndiye huyo huyo mnaemkimbilia huko ktk makongamano yenu ya kidini.

Shetani ndiye huyo huyo anayehubiliwa makanisani+misikitini na haswa ktk makongamano na mikusanyiko kama hiyo hapo ndipo mahala shetan anaketi kusujudiwa na wapumbavu waliokataa kutumia akili Bali hisia walizopandikizwa na mafundisho ya Uongo.

Ni huzuni sana maana shetani ktk kizazi hiki anaabudiwa adharani kabisa huku watu wakijinasibu kumuabudu kwa shangwe, mbwembwe na Kila aina ya nyimbo+mapambio.

Angalau basi tuna wasomi wengi ambao wangeweza kuchanganua mambo na kutofautisha ukweli na uongozi lkn nao wamekwama huko huko wameshadakwa wanaamini upuuzi na Ushenzi wa hao mitume Wahuni na wapiga ramli.
 
Back
Top Bottom