Mwamposa apewe maua yake

Mwamposa apewe maua yake

Ubungo Mataa

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2018
Posts
411
Reaction score
725
Heshima kwenu wanabodi..

Jana wakati nasubiri kuupokea mwaka mpya nilikuwa nimetulia tu nyumbani nikiwa nawatch kideo.

Baada ya kuunglia chanel kadhaa ndio nikakutana na mkesha wa kihistoria wa Boniphace Mwamposa, chuma kilikuwa kinaunguruma kutoa viwanja vya Tanganyika Packers Kawe. Aisee huyu jamaa ni mtu na nusu, mahubiri ya nguvu, shuhudi za kwali na maombi yaliyoenda shule za International.

Serikal izungumze neno, huyu jamaa awe hata mwombezi rasmi wa taifa.. ni fundi!

Nikakabidhi na mimi maombi yangu kumi na mbili kama kawaida.. Sasa nikuanza kuyapambania usiku na mchana hadi yatimie kama nilivyoomba kupitia madhabahu ile kuu.

Heri ya mwaka mpya 2024 kwenu nyote!
 
Heshima kwenu wanabodi..

Jana wakat nasubir kuupokea mwaka mpya nilikuwa nimetulia tuu nyumban nikiwa nawatch kideo.

Baada ya kuunglia chanel kadha ndio nikakutana na mkesha wa kihistoria wa Boniphace Mwamposa, chuma kilikuwa kinaughuruma kutoa viwanja vya Tanganyika Pakers Kawa. Aisee huyu jamaa n mtu na nusu, mahubir ya nguvu, shuhudi za kwali na maombi yaliyoenda shule za International.

Serikal izungumze neno, huyu jamaa awe hata mwombezi rasmi wa taifa.. ni fundi!

Nikakabidhi namim maombi yangu kumi na mbili kama kawaida.. Sasa nikuanza kuyapambania usiku na mchana hadi yatimie kama nilivyoomba kupitia madhabahu ile kuu..

Heri ya mwaka mpya 2024 kwenu nyote!
Tunamwomba kwa kupitia JINA LA YESU KRISTO TU, ukiona mchungaji anasema jiambatanishe na madhabahu yangu, jua hapo kwenye madhabahu yake kuna lishetani. hutakiwi kujiambatanisha na jina la mdhabaru au mchuganji yeyote, jiambatanishe na Jina la Yesu. na sio miujiza yote inatoka kwa Mungu,hata shetani anatoa miujiza.
 
Tunamwomba kwa kupitia JINA LA YESU KRISTO TU, ukiona mchungaji anasema jiambatanishe na madhabahu yangu, jua hapo kwenye madhabahu yake kuna lishetani. hutakiwi kujiambatanisha na jina la mdhabaru au mchuganji yeyote, jiambatanishe na Jina la Yesu. na sio miujiza yote inatoka kwa Mungu,hata shetani anatoa miujiza.
Mwamposa miujiza yote ni kwa Jina La Yesu Kristo. Jina lipitalo majina yote!

Uliza watu
 
Heshima kwenu wanabodi..

Jana wakati nasubiri kuupokea mwaka mpya nilikuwa nimetulia tu nyumbani nikiwa nawatch kideo.

Baada ya kuunglia chanel kadhaa ndio nikakutana na mkesha wa kihistoria wa Boniphace Mwamposa, chuma kilikuwa kinaunguruma kutoa viwanja vya Tanganyika Packers Kawe. Aisee huyu jamaa ni mtu na nusu, mahubiri ya nguvu, shuhudi za kwali na maombi yaliyoenda shule za International.

Serikal izungumze neno, huyu jamaa awe hata mwombezi rasmi wa taifa.. ni fundi!

Nikakabidhi na mimi maombi yangu kumi na mbili kama kawaida.. Sasa nikuanza kuyapambania usiku na mchana hadi yatimie kama nilivyoomba kupitia madhabahu ile kuu.

Heri ya mwaka mpya 2024 kwenu nyote!
Umeandika kihuni kuusifia uhuni. Fungua macho!
 
Back
Top Bottom