GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mwalimu Mwakasege anaanza Ibada on time Saa 10 Kamili na Saa 12 Kamili kamaliza ( anamaliza )
Wewe ( Mwamposa ) unaanza muda usioeleweka na Kumaliza muda mbaya ( usioeleweka ) kiasi kwamba 95% ya Waumini wako hupata Adha Kubwa ya Usafiri na wengine kukosa Nauli na Kuturahisishia Masela ( Wahuni ) Kazi ya kuwapa Nauli na Lift baada ya Kuwabandua kwa Kutukuka.
Mwalimu Mwakasege ni Mstaarabu mno na ndiyo maana unaona hata 99.9% ya Waumini wake, wanaompenda na wanaomuamini ni wale Wasomi na wenye Uelewa mpana na Akili Kubwa tofauti na Unaowadanganya na Kuwafanya Mazoba ( Mazuzu ) kila Uchao.
Wewe ( Mwamposa ) unaanza muda usioeleweka na Kumaliza muda mbaya ( usioeleweka ) kiasi kwamba 95% ya Waumini wako hupata Adha Kubwa ya Usafiri na wengine kukosa Nauli na Kuturahisishia Masela ( Wahuni ) Kazi ya kuwapa Nauli na Lift baada ya Kuwabandua kwa Kutukuka.
Mwalimu Mwakasege ni Mstaarabu mno na ndiyo maana unaona hata 99.9% ya Waumini wake, wanaompenda na wanaomuamini ni wale Wasomi na wenye Uelewa mpana na Akili Kubwa tofauti na Unaowadanganya na Kuwafanya Mazoba ( Mazuzu ) kila Uchao.