GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mwamposa anaongozwa na roho mtakatifu Hana ratiba za kidunia. Mwaksege n mwalimu anafunfisha SoMo likiisha anaahirisha kipindi
Mwamposa msala ulipotokea Moshi aliwakacha waumini wake kwa gari na kuacha ndege yake akihisi ndege inaenda taratibu kuliko gari itamchelewesha.Mwalimu Mwakasege anaanza Ibada on time Saa 10 Kamili na Saa 12 Kamili kamaliza ( anamaliza )
Wewe ( Mwamposa ) unaanza muda usioeleweka na Kumaliza muda mbaya ( usioeleweka ) kiasi kwamba 95% ya Waumini wako hupata Adha Kubwa ya Usafiri na wengine kukosa Nauli na Kuturahisishia Masela ( Wahuni ) Kazi ya kuwapa Nauli na Lift baada ya Kuwabandua kwa Kutukuka.
Mwalimu Mwakasege ni Mstaarabu mno na ndiyo maana unaona hata 99.9% ya Waumini wake, wanaompenda na wanaomuamini ni wale Wasomi na wenye Uelewa mpana na Akili Kubwa tofauti na Unaowadanganya na Kuwafanya Mazoba ( Mazuzu ) kila Uchao.
Kama mimi mkuu. Waafrica tuna shida kichwani.Mtu akiniambia anaenda kwa Mwamposya namtoa kwenye listi ya watu wenye akili.
Dah, kweli fungu la mwamposa ni la mwamposa tu.Mwamposa anaongozwa na roho mtakatifu Hana ratiba za kidunia. Mwaksege n mwalimu anafunfisha SoMo likiisha anaahirisha kipindi
Ana ndege binafsi kumbe? Eee bhana eeMwamposa msala ulipotokea Moshi aliwakacha waumini wake kwa gari na kuacha ndege yake akihisi ndege inaenda taratibu kuliko gari itamchelewesha.
Nadhani aliikodi, sina uhakika sanaAna ndege binafsi kumbe? Eee bhana ee
Hivi hawa wana mazingaombwe wanawapa nini kondoo??Mwalimu Mwakasege anaanza Ibada on time Saa 10 Kamili na Saa 12 Kamili kamaliza ( anamaliza )
Wewe ( Mwamposa ) unaanza muda usioeleweka na Kumaliza muda mbaya ( usioeleweka ) kiasi kwamba 95% ya Waumini wako hupata Adha Kubwa ya Usafiri na wengine kukosa Nauli na Kuturahisishia Masela ( Wahuni ) Kazi ya kuwapa Nauli na Lift baada ya Kuwabandua kwa Kutukuka.
Mwalimu Mwakasege ni Mstaarabu mno na ndiyo maana unaona hata 99.9% ya Waumini wake, wanaompenda na wanaomuamini ni wale Wasomi na wenye Uelewa mpana na Akili Kubwa tofauti na Unaowadanganya na Kuwafanya Mazoba ( Mazuzu ) kila Uchao.
AseeHivi hawa wana mazingaombwe wanawapa nini kondoo??
[emoji2][emoji2]MWAMPOSA NA KALYNDA NI WATOTO WA BABA NA MAMA MMOJA ILA BIBI MBALIMBALI
Wivu tuDah, kweli fungu la mwamposa ni la mwamposa tu.
Comment yako imeniogopesha sana.