GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Yaani Mwamposa umeona ukisema hizo Nyumba ni zako Utasababisha Waumini wako unaowakamua Kutwa waanze Kukukacha hivyo ukamtafuta Rafiki yako Lugumi kwakuwa Yeye ni Mfanyabishara basi ajifanye ni zake kisha Wewe ucheze Mchezo wa Waandishi wa Habari wajifanye wanakuja Kukuhoji kisha uanze Kumsifia Lugumi na ujifichie katika Kimvuli chake.
Soma Pia:
Siyo kila Mtanzania ana Akili nzito za kutoweza kutambua Jambo kama mlilolifanya.
Soma Pia:
- Lugumi ana roho ya kumcha Mungu: Mtume Mwamposa
- Muda wa kujisafisha: Lugumi kuwajengea maghorofa sita watoto yatima Dar
Siyo kila Mtanzania ana Akili nzito za kutoweza kutambua Jambo kama mlilolifanya.