Mwamposa ni Mtumishi wa Mungu; je, hii Huduma aliyonayo ya LIPA KWA SIMU ya Tigo Pesa amepewa na anaitumia kama nani?

Mwamposa ni Mtumishi wa Mungu; je, hii Huduma aliyonayo ya LIPA KWA SIMU ya Tigo Pesa amepewa na anaitumia kama nani?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Lipa kwa Simu kwa mujibu wa Watu wa Makampuni ya Simu na kwa Maagizo ya Serikali ni Maalum tu kwa Wafanyabiashara na siyo Watu Wengine.

Hivyo basi GENTAMYCINE nauliza hii LIPA KWA SIMU ya Tigo Pesa namba 5135393 yenye Jina la Boniface Mwamposa amepewa kama Mtumishi wa Mungu au Mtumishi wa Mungu Mfanyabiashara?

Endeleeni tu Kumlea vibaya na Kumpendelea huyu Mtu ( kwakuwa baadhi yenu anawaombeeni Virusi visinzie Miilini mwenu na Wengine mtuibie vizuri katika Nyadhifa zenu mbalimbali ) huku Wengine kama Yeye ( Mfano Mwingira wa Mwenge ) mkiwanyanyasa ila yana mwisho na mtakuja Kunikumbuka siku moja kuwa Mimi Zanaki and Makuwa Think Tank ( GENTAMYCINE ) ni Muona mbali Niliyebarikiwa na Mwenyezi Mungu.
 
Lipa kwa simu hata ""bahadhi"" ya masikini hoehae wanayo.., lakini nafikiri ujumbe uliokusudia kuufikisha umefika baraabara kupitia mgongo wa "lipa kwa simu" [emoji16]
 
Alipoenda Moshi, watu walikufa kwa msongamano, "hivi ninyi watu, bado hamjashtuka?" Ni mbinu katika ulimwengu wa roho.
 
Huyu Jamaa atakuja kuleta Hatari moja Kubwa sana nchini Tanzania miaka si mingi. Acha tu waendelee Kumlea, Kumdekeza na Kumchekea.
Mi wale wapumbavu hata wakifa wote sitashangaa ndo kwanza nitakunywa soda nyingi kusheherekea upumbavu wao

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Sababu wajinga ni wengi, wanaamini katika kuombewa upate,wakati Yesu alisema asiyefanya kazi asile

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Sio wajinga Mkuu kuna watu wenye elimu na vipato tofauti tofauti. Kuna baadhi ya matatizo yakikukuta unajikuta tu umeenda sehemu ambayo hukutarajia. Tusiwaite wajinga na kuna wengine wako pale kwa kazi maalum wanayoijua wao
 
Sio wajinga Mkuu kuna watu wenye elimu na vipato tofauti tofauti. Kuna baadhi ya matatizo yakikukuta unajikuta tu umeenda sehemu ambayo hukutarajia. Tusiwaite wajinga na kuna wengine wako pale kwa kazi maalum wanayoijua wao
Ujinga huja yakikukuta
 
Back
Top Bottom