MWAMPOSA: Unforgettable overnight tutumalizana na HIV, Nuksi, Mikosi, Mabalaa, Siasa na kama kila unachokifanya hakifanikiwi Kawe inakuhusu

Uende ukachukue mafuta upake simu yako bando litakuwa halikati na hutowalalamikia kamwe watoa huduma za internet๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Usimjaribu bwana Mungu wako japo hashindwi chochote
 
Namba 10.
 
Ila huu ni utapeli wa dini...
 
Bado mnamwamini huyu jamaa?watz tumerogwa
 
Hv hii mikesha ya "kumuomba Mungu" Huwa inafanyika na nchi kama China, Korea, ya kusini, Taiwan, Luxembourg, nk? Ili kutatua shida za kiuchumi, uchawi nk?
Au, ni bongo tu, ndio kuna vilaza na mataperi wanaoaminisha watu kuwa unaweza kutatua shida zako za kiuchumi, afya, jamii,kipato, kwa kukesha unaomba na kutoa sadaka ya kujimaliza kwa "pastor"
Kwenye huo mkesha akiwepo bakheresa, GSM, nami nitakuja
 
Wanafanya sana tu ndg yangu
 
Afrika na Tanzania, tunaangamia kwa kukosa maarifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ