Mwamuzi alishangilia goli pekee la Namungo waliloifunga Simba?

Mwamuzi alishangilia goli pekee la Namungo waliloifunga Simba?

Lupweko

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2009
Posts
23,566
Reaction score
24,891
Katika hali isiyo ya kawaida, kuna tukio linaonyesha mwamuzi akiungana na benchi la ufundi la Namungo kushangilia goli ambalo Steve Nzigamasabo wa Namungo aliitanguliza timu yake mbele. Bila shaka ni mwamuzi wa akiba (fourth official), na nadhani ni suala la kibinadamu tu, alijisahau na asamehewe, ila hata hivyo liwe funzo kwake na waamuzi wengine kuwa unapokuwa mwamuzi unapaswa kuyaweka kando maslahi yako.

1622452005964.png


1622452219087.png
 
Katika hali isiyo ya kawaida, kuna tukio linaonyesha mwamuzi akiungana na benchi la ufundi la Namungo kushangilia goli ambalo Steve Nzigamasabo wa Namungo aliitanguliza timu yake mbele. Bila shaka ni mwamuzi wa akiba (fourth official), na nadhani ni suala la kibinadamu tu, alijisahau na asamehewe, ila hata hivyo liwe funzo kwake na waamuzi wengine kuwa unapokuwa mwamuzi unapaswa kuyaweka kando maslahi yako.

View attachment 1803410

View attachment 1803413
Kima wewe, kaangalie video halafu uje ufute uharo wako hapa...[emoji41]
 
Akushangilia isipokua kiongozi mmoja alimkombatia mwamuz na wakati huo mwamuzi ana wazuia viongozi wa namungo kurudi kwenye benchi lao

Na Vipi mkuu habari ya lamine Moro kwenda ofisini kwa injinia na kuanza kumtwanga makonde sababu kubwa ni injinia kutopokea simu ya lamine inasemekana walinzi walikua karibu wakawai kumuokoa injinia mpaka sasa habari ipoje?
 
Fourth Official anachofanya hapo ni kuwazuia hao bench la Namungo wasivuke touchline na kuingia uwanjani maana ni kinyume na sheria.
 
Akushangilia isipokua kiongozi mmoja alimkombatia mwamuz na wakati huo mwamuzi ana wazuia viongozi wa namungo kurudi kwenye benchi lao

Na Vipi mkuu habari ya lamine Moro kwenda ofisini kwa injinia na kuanza kumtwanga makonde sababu kubwa ni injinia kutopokea simu ya lamine inasemekana walinzi walikua karibu wakawai kumuokoa injinia mpaka sasa habari ipoje?
Umekula? naona unafatilia sana maisha ya watu
 
Katika hali isiyo ya kawaida, kuna tukio linaonyesha mwamuzi akiungana na benchi la ufundi la Namungo kushangilia goli ambalo Steve Nzigamasabo wa Namungo aliitanguliza timu yake mbele. Bila shaka ni mwamuzi wa akiba (fourth official), na nadhani ni suala la kibinadamu tu, alijisahau na asamehewe, ila hata hivyo liwe funzo kwake na waamuzi wengine kuwa unapokuwa mwamuzi unapaswa kuyaweka kando maslahi yako.

View attachment 1803410

View attachment 1803413
Badala ya kupandisha uzi na picha za goli la Morrison wanajamii wajadili wewe unaleta uzushi. Wewe utakuwa ndugu wa Kigogo 2014
 
Back
Top Bottom