Kima wewe, kaangalie video halafu uje ufute uharo wako hapa...[emoji41]Katika hali isiyo ya kawaida, kuna tukio linaonyesha mwamuzi akiungana na benchi la ufundi la Namungo kushangilia goli ambalo Steve Nzigamasabo wa Namungo aliitanguliza timu yake mbele. Bila shaka ni mwamuzi wa akiba (fourth official), na nadhani ni suala la kibinadamu tu, alijisahau na asamehewe, ila hata hivyo liwe funzo kwake na waamuzi wengine kuwa unapokuwa mwamuzi unapaswa kuyaweka kando maslahi yako.
View attachment 1803410
View attachment 1803413
Mm ninachoona hapo kwenye hizo picha sio kushangilia bali anatumia nafasi yake kuongoza na kudhibiti watu ktk tukio flan lililotokeaMbona kama alikua anawazuia makocha wasitoke kwenye kile kiboksi chao cha mstari!
Hapo hajashangilia
Umekula? naona unafatilia sana maisha ya watuAkushangilia isipokua kiongozi mmoja alimkombatia mwamuz na wakati huo mwamuzi ana wazuia viongozi wa namungo kurudi kwenye benchi lao
Na Vipi mkuu habari ya lamine Moro kwenda ofisini kwa injinia na kuanza kumtwanga makonde sababu kubwa ni injinia kutopokea simu ya lamine inasemekana walinzi walikua karibu wakawai kumuokoa injinia mpaka sasa habari ipoje?
Badala ya kupandisha uzi na picha za goli la Morrison wanajamii wajadili wewe unaleta uzushi. Wewe utakuwa ndugu wa Kigogo 2014Katika hali isiyo ya kawaida, kuna tukio linaonyesha mwamuzi akiungana na benchi la ufundi la Namungo kushangilia goli ambalo Steve Nzigamasabo wa Namungo aliitanguliza timu yake mbele. Bila shaka ni mwamuzi wa akiba (fourth official), na nadhani ni suala la kibinadamu tu, alijisahau na asamehewe, ila hata hivyo liwe funzo kwake na waamuzi wengine kuwa unapokuwa mwamuzi unapaswa kuyaweka kando maslahi yako.
View attachment 1803410
View attachment 1803413
Kwaiy unatak nifatilie maisha ya mbuzi any way ni utani tu mkuu usipaniki banaUmekula? naona unafatilia sana maisha ya watu
Hicho ndicho ninachokiona hapo..mtoa uzi acha uchonganishi.Uchonnganishi huu bila video, how sure hapo lilikua limefungwa goli? what if kama alikua anazuia watu wa bench wasi ingie uwanjani?