Mwamvita Makamba apandishwa cheo

Status
Not open for further replies.
mkuu jukwaa la celebrities lingefutwa basi
 





waliosoma TWITTER FEEDS za MWAMVITA hawakuamini maneno anayoandika juu ya hii lawama
 





waliosoma TWITTER FEEDS za MWAMVITA hawakuamini maneno anayoandika juu ya hii lawama
 





waliosoma TWITTER FEEDS za MWAMVITA hawakuamini maneno anayoandika juu ya hii lawama
 
Hongera zake du hivi bado mnatembelea michuzi blog?
Mkuu bado tunatembelea michuzi blog inatupa breaking news kwa watu tunao
safiri mara kwa mara.Ila si maanishi ni mkali kuliko JF.Ukiwa haupo tz hata kwa siku moja ni budi
uingie blog tofauti ili upate habari zaidi
 
Si useme ameandika nini?si watu wote wana ingia hiyo kitu mnaita twita au kitabu cha sura,sori ingilishi yangu not richabo




waliosoma TWITTER FEEDS za MWAMVITA hawakuamini maneno anayoandika juu ya hii lawama
Si useme alindika nini si wote tuna ingia twita na sura ya kitabu,
 
Si useme ameandika nini?si watu wote wana ingia hiyo kitu mnaita twita au kitabu cha sura,sori ingilishi yangu not richabo




waliosoma TWITTER FEEDS za MWAMVITA hawakuamini maneno anayoandika juu ya hii lawama
Si useme alindika nini si wote tuna ingia twita na hiyo kitu inaitwa sura ya kitabu,
 


i

Hawa wazungu walikuwa taaban kusaidiana na ndugu zetu kutafuta maiti na watu walionusirika




Then VODACOM waliamua kuwa bize kufanya yafuatayoooo



wakati mnahangaika kutafuta Maiti za watoto wenu na ndugu zenu hawa walisema watakaosa pesa na wataingia hasara kubwa so wakaendelea kujirusha kama kawaida

 


i

Hawa wazungu walikuwa taaban kusaidiana na ndugu zetu kutafuta maiti na watu walionusirika




Then VODACOM waliamua kuwa bize kufanya yafuatayoooo



wakati mnahangaika kutafuta Maiti za watoto wenu na ndugu zenu hawa walisema watakaosa pesa na wataingia hasara kubwa so wakaendelea kujirusha kama kawaida
 
Watu wanalia wao wakapanda kwenye limo na tabasamu la nguvu.HIVI kabla ya mashindano walisimama kimya kuwakumbuka wahanga?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…