mkuu jukwaa la celebrities lingefutwa basiAcheni kuonglea watu jamvini. Tabia mbaya hii. Pelekeni ujinga huu kwenye globs. Angekuwa kwenye politics may be ingekuwa valid kumwongelea lakini personal stuff, Naaaah..Stop discussing gossips! Remember JF is the home of great thinkers, unless JF has become the home of great yappers!
Wivu una jinsia? LOL!Wivu wa kike huo
Mkuu bado tunatembelea michuzi blog inatupa breaking news kwa watu tunaoHongera zake du hivi bado mnatembelea michuzi blog?
Si useme alindika nini si wote tuna ingia twita na sura ya kitabu,Si useme ameandika nini?si watu wote wana ingia hiyo kitu mnaita twita au kitabu cha sura,sori ingilishi yangu not richabo
waliosoma TWITTER FEEDS za MWAMVITA hawakuamini maneno anayoandika juu ya hii lawama
Si useme alindika nini si wote tuna ingia twita na hiyo kitu inaitwa sura ya kitabu,Si useme ameandika nini?si watu wote wana ingia hiyo kitu mnaita twita au kitabu cha sura,sori ingilishi yangu not richabo
waliosoma TWITTER FEEDS za MWAMVITA hawakuamini maneno anayoandika juu ya hii lawama