Habar wana uwanja. M napenda sana somo la biology coz linanijuza jins mwili wangu unavyofanya kazi.
Napenda kujua ni nin kinachofanya mtu acheke?
Inakuwaje kuwaje mpaka mtu acheke {how}
Je kicheko ni kitendo cha hiari au sio? Na je ni response to stimulus au sio?.
Ni hayo tu wanauwanja
Napenda kujua ni nin kinachofanya mtu acheke?
Inakuwaje kuwaje mpaka mtu acheke {how}
Je kicheko ni kitendo cha hiari au sio? Na je ni response to stimulus au sio?.
Ni hayo tu wanauwanja