Sugu should give it a rest now
yalaiitiimuimba taharabu.
Wanaume wazima wambeya ......
Kwani SUGU Mbunge wa wapi? unadhani wapiga kura wake ni wanawake watupu?
Kwa hiyo anawawakilisha wapiga kura yake kwa yale matusi ya kiingereza cha kuunga unga......'ananchekesha'
Hawa jamaa ni wahuni tu. Fa kawazidi kielimu, hizo ni chuki binafsi.
Acheni umbeya.