Wanakula kimya kimya. Hii biashara ya perfume naona hata chibu haitilii mkazo nadhani siyo biashara nzuri kwa Tz maana wanapenda majina ya bidhaa za njeBilioni za tigo zishaanza kufanya kazi?
umeoongea vyema mkuu, tatizo biashara za wabongo wengi mwanzoni huwa zinapambwa sana kuliko uhalisia wenyewe mtu hata haangalii nguvu ya soko ila tu anataka apate sifa kwa wapiga kelele wa mitandaoni ambao asilimia kubwa hawawezi hata kukuunga mkono kwenye biashara yakoWanakula kimya kimya. Hii biashara ya perfume naona hata chibu haitilii mkazo nadhani siyo biashara nzuri kwa Tz maana wanapenda majina ya bidhaa za nje
Kweli mkuu ngoja tuone maana wanaeza sema tuna roho mbaya ila hizi biashara za perfume labda lakini wote waliojaribu wamefail kuanzia wema hadi diamondumeoongea vyema mkuu, tatizo biashara za wabongo wengi mwanzoni huwa zinapambwa sana kuliko uhalisia wenyewe mtu hata haangalii nguvu ya soko ila tu anataka apate sifa kwa wapiga kelele wa mitandaoni ambao asilimia kubwa hawawezi hata kukuunga mkono kwenye biashara yako
Mifano ni mingi mkuu ngoja tunyamaze wasije kusema sisi ni "timu roho mbaya"Kweli mkuu ngoja tuone maana wanaeza sema tuna roho mbaya ila hizi biashara za perfume labda lakini wote waliojaribu wamefail kuanzia wema hadi diamond
ukitaka kuwin usiiweke bayana kama ni product yako tena local,iache izunguke sokon kimya kimya au inadi km ni product from italyWanakula kimya kimya. Hii biashara ya perfume naona hata chibu haitilii mkazo nadhani siyo biashara nzuri kwa Tz maana wanapenda majina ya bidhaa za nje
Kabisa mkuu wabongo watanunua kama usiposema kuwa ni ya kwako lakini ukisema ni ya kwakio watanunua kwa mihemko siku za mwanzo then kwishaukitaka kuwin usiiweke bayana kama ni product yako tena local,iache izunguke sokon kimya kimya au inadi km ni product from italy
Aah wapi,na sijui km ipoIle Chibu Perfume inaendeleaje? Ishafika soko la kimataifa?
Hivi vifupi vingine vinaweza kuiharibu brand yako ikaonekana ya hovyo kabisa... Mpinzani wako akiamua kukuharibia anaweza kuleta ile tafsiri ya wamarekani Fuvk You Nigger( FYN)Ni zaidi ya mwaka sasa nipo kwenye utafiti wa gharama na soko la body spray za wadada ambazo kwa wazo langu zitakua unique na very adore,wakati naenda kutafuta kampuni ambayo wataweza kunifanyia hii kazi mara paap naskia FA kalaunch spray zake moyo ukafanya paap....kweli ukisubiri liive wenzako hata kwa chumvi na pilipili wanakula....japo idea hii sio mpya but naweza kusema mawazo yanagongana au kwa watu niliowashirikisha wanaweza kuwa wamempa wazo langu na yeye kwa connection,exposure,pesa alizonazo kachangamkia fursaView attachment 972008
Nimesanuka pia.Ww ndio Mwana FA mwenyewe..unatangaza biashara kwa mgongo wa nyuma...
Sasa kwa muziki gani au matangazo gani yanayowafanya waweze kununua majumba marekani,kununua mbudya na kufungua viwanda vya perfume?Togo hawajatoa hata mia
Hata mie nahisi jamaa washapata mpunga wao ila hawataki kuweka wazi maana wazee wa kazi na machawa wanaweza wakazitolea macho.Wanakula kimya kimya. Hii biashara ya perfume naona hata chibu haitilii mkazo nadhani siyo biashara nzuri kwa Tz maana wanapenda majina ya bidhaa za nje
Hakuna alienunua nyumba marekani bali wamepanga tuSasa kwa muziki gani au matangazo gani yanayowafanya waweze kununua majumba marekani,kununua mbudya na kufungua viwanda vya perfume?
Basi wanatulisha matango pori sana.Hakuna alienunua nyumba marekani bali wamepanga tu