Mwana FA kavuta jiko

Muuza Sura
Hujafa hujaumbika acha majivuno. Ningekua na dada aliye single, ningem recommend kwa msela.

Yule jamaa anajielewa sanaa hamjamsoma tu. Ana vision na this entertainment thing and for sure i tell u, kuna siku atawashangaza sanaa.

He has a good sense of humour and deep down si mtu mwenye roho/nia mbaya.
 
Mwambie huyo![emoji57]
Unajua nn, mim ni mtu mzima nashukuru Mungu nimebatika kwenda shule. I kno how to join the dots and analyse things in a logical way. So huwa sikurupuki kuhukumu mtu bila kuangalia pande zote mbili mostly.

Yule bwana....kuna kitu kikubwa in this entertainment industry ana target na for sure atakipata. Just watch him closely.

Sinaga muda kufatilia issue za ki familia za mtu. Ila kwa kumfatilia instagram nimenote huyo Ex wake Le Mutuz by any how atakua ovyo sana na anajuta huko aliko ku divorce na msela. Mtu huwez kuweka facts straight vile in public then uniambie William ana danganya....NO WAY !! That woman definitely is the problem nd too bad the dude has already moved on.
 
Ule mziki ni utunzi ktk kufikisha ujumbe kwani kina wolper wanavyoekti wanajiuza makahaba ndo kweli??!!ni kutoa burudani tu sio maisha halisi au mnasemaje waungwana nawatega?!!

Kina Wolper ni kweli asee.....
 
Kaoa mzazi mwenzie, wana mtoto mkubwa tu. Kafanya la maana kuliko wengi humu mnajua kutia mimba tu na kutelekeza.
Kesho mkisikia mtoto kawa celebrity ndio mnajitokeza.
Aaah sio wote bana. Ila ni vizuri kama kaoa mzazi mwenzie ili mtoto apate malezi mema ya both parents.
 
Kama nimekusoma vizuri umeandika kwamba huwa hukurupuki bila kuangalia pande zote mbili....

Well umeandika kwamba huwa unasoma huko kwenye vijiwe vyenu vya Insta na unajiridhisha Le Mutuz yuko sahihi na mtalaka wake ndio tatizo!!!.......

Hapa naona kuna gap kubwa tu, hujatueleza ni lini na ni wapi uliwahi kumsikiliza Neema Ngwilulupi? Labda nikusaidie jina lake kama hulijui, pia ningependa nikuulize unamfahamu Neema? Unafahamu anafanyakazi wapi? Je kazi yake inamruhusu kubehave kama huyo role model wako kwenye social network? Ni kweli wewe umekwenda shule au ulipita shule!? Mbona reasoning yako ni poor kabisa!?
 
Sawa msomi.

Nimesema based on facts alizokua akitoa jamaa its very clear wa upande wa pili atakua na tatzo.

This topic was closed though, istoshe sina muda.
 
Sawa msomi.

Nimesema based on facts alizokua akitoa jamaa its very clear wa upande wa pili atakua na tatzo.

This topic was closed though, istoshe sina muda.
Hatuna utamaduni wa kukimbia mijadala hapa JF, umejinasibu kwamba umefatilia pande zote mbili yani maelezo ya William ukayaamini na umeona yote ni kweli tupu.....

Sasa swali langu liko palepale umeshawahi kumsikiliza Neema? Au unavyodhani Neema ni wakuja kwenye Insta page ya William na kuanza kubehave kama Mange Kimambi au Mbuta Nanga? Je unajuwa Neema anafanyakazi taasisi gani?

Hivi kwa akili yako na ya Le Mutuz waliokaa kimya hawana matatizo ya kifamilia kwenye nyumba zao?

Ni kwa nini ajifunzi hata busara kwa dada yake Dr Mwele Malecela mbona ana mastress ya mapenzi lakini anamantain low profile?
 
Safi sana jamaa...mshauri basi na mshkaji wako Ambwene aoe..japo maisha hayaigwi ila kidogo umri umesogea.
 

Unajua mimi nimewaza kama wewe. Sipendi tabia ya kusikia kitu upande mmoja na kusema ooh fulani must be a problem. No way!
Eti based on facts,how sure r u kua hizo anazotoa Lemutuz ni facts. Kiukweli situations kama hizi ni za kuwa acha wenyewe. They could all be problems here (Yaani ye na mkewe/Yaani mmoja analalamika kwa watu mwengine ajitetea Instagram !
Watu wengi wameachana na wengi wanastruggles ktk mahusiano yao but why would you involve third parties?.Wakati mkitongozana walikuepo?
Naona tatizo la kukutana watu wazima wawili na kushindwa kusolve matatizo yao in grownups way.
Sorry kwa gazeti.I hate when a person judge others that way
 
Senior Boss

Wewe ni mwepesi wa kusahau nimepinga humu muda mrefu Neema Ngwilulupi kupewa kazi Marekani kwenye Tanzania mission wakati hana sifa kwa mgongo wa mzee Malecela, leo iweje niwe na undugu na mtu ambaye najuwa amebebwa tu kupewa ajila Marekani wakati wapo wengine wameachwa kisa yeye mkwe wa Malecela!?
 

Either way hongera lakini. No hard feelings. I just aint got the time to waste digging other people's biz.

Siwajui na wala sihitaji kuwajua, i wudn't care less hata afanye kazi state house.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…