Dah! Kiukweli hawaumizi vichwa kabisa halafu utasikia ile video nimetumia milion mbili.Kaka sometime kibongo bongo tunashida ya lack of creativity....producer mmoja anachek video ...afu anasema hii ni bonge mmoja ya location...afu ana copy nakupaste kama kawa...
Lakini masters yake haijahusishwa hapa, sana hapa ni hao maproducer kuwa wabunifu na kuachiana majukumu inawezekana hata wewe usiwe producer ila ukisikiliza wimbo audio unapata idea nzuri zaidi ya video kuliko wao wanavyodhani kwamba wanajua kila kitu.Mwana FA hana masters ya kutengeneza video, masters yake ni ya vitu vingine tofauti. Usimsakame. Its me Kintoki Bitta