Wanajukwaa Asalam Aleykum.
Mwenzenu sijambo, japo kuna jambo bado linanitatiza.
Bado natafakari ujumbe uliosheheni kwenye mashairi aliyoimba Naibu waziri wa Michezo leo.
Kati ya mashairi hayo ni pamoja na lile linalosema, "Mungu ndiye aliyetaka jongoo kugeuka kuwa nyoka".
Sasa hapa bado namtafakari huyo jongoo aliyegeuka nyoka, hapa Mheshimiwa alitaka kusemaje?!
Anyway, naishia hapo nisiwachoshe.
Mwenzenu sijambo, japo kuna jambo bado linanitatiza.
Bado natafakari ujumbe uliosheheni kwenye mashairi aliyoimba Naibu waziri wa Michezo leo.
Kati ya mashairi hayo ni pamoja na lile linalosema, "Mungu ndiye aliyetaka jongoo kugeuka kuwa nyoka".
Sasa hapa bado namtafakari huyo jongoo aliyegeuka nyoka, hapa Mheshimiwa alitaka kusemaje?!
Anyway, naishia hapo nisiwachoshe.