Mwana Fa amadai kwa sasa muziki wa ma group hauwezi kulipa tena kutokana na hali ya uchumi wa muziki kwa sasa, ametolea mfano wa ma group ya muziki ya Marekani waliyokuwa wameyaiga kama D12 yalivyokufa na wasanii wake kubaki solo kwa kuwa ma group kiuchumi haulipi
Mwana fa kaongea kama mtu aliye filisika kiwawazo huwezi kutole mfano wa magrup ya mziki wa Marekani na vitu vya kipuuzi
Magrup mengi ya Marekani wanajitenga kutokana na maslai binafsi na siyo kuwa magrup ya Music wa Marekani haulipi! Marekani si sawa na bongo unatoa albuni unauza copy kumi!