DIUNATION JF-Expert Member Joined Apr 2, 2012 Posts 2,591 Reaction score 1,719 Jun 16, 2013 #21 Sasa ndio nimeuelewa wimbo wa mwanafatuma KAMA ZAMANI.Anatamani urafiki wake na jide urudi kama zamani
Sasa ndio nimeuelewa wimbo wa mwanafatuma KAMA ZAMANI.Anatamani urafiki wake na jide urudi kama zamani
kadoda11 JF-Expert Member Joined Jan 6, 2011 Posts 21,453 Reaction score 20,746 Jun 16, 2013 #22 ningekuwa mimi ndio fa,kupooza joto hasira ningerudi tena shule kuongeza master nyingine ya finance.lol
ningekuwa mimi ndio fa,kupooza joto hasira ningerudi tena shule kuongeza master nyingine ya finance.lol
Heaven on Earth JF-Expert Member Joined Mar 21, 2013 Posts 37,226 Reaction score 26,687 Jun 17, 2013 #23 Heloo said: mi naona makonda na wapigadebe ndo walijazana.Hata ivyo sishangai kiingilio hata mwanafunzi anaweza.KITU MWANAFA kitu classic! Click to expand... hahaaa na wale wanafunzi wa IFM walioingia kwa buku 5 mkajifanya the finest 50,000.kiko wapi #TeamAnaconda # for life
Heloo said: mi naona makonda na wapigadebe ndo walijazana.Hata ivyo sishangai kiingilio hata mwanafunzi anaweza.KITU MWANAFA kitu classic! Click to expand... hahaaa na wale wanafunzi wa IFM walioingia kwa buku 5 mkajifanya the finest 50,000.kiko wapi #TeamAnaconda # for life
shanature JF-Expert Member Joined Nov 15, 2010 Posts 1,693 Reaction score 1,432 Jun 17, 2013 #24 tehaheee tehe unajua namcheka nini usilulize ni yele mwana fatuma kama binti ana jiita Fina east siku hizi
tehaheee tehe unajua namcheka nini usilulize ni yele mwana fatuma kama binti ana jiita Fina east siku hizi