ukwaju_wa_ kitambo
Senior Member
- Sep 15, 2024
- 150
- 173
MWANA FA ( SONG - NAZEEKA )
Wote bado wana fuata mi ni kama mdundiko/ hata ujifiche wapi sauti itakufuata ulipo/ busara na maumivu katikati ya kauli zangu/ mimi ni kaka mkubwa jamaa msibishane wadogo zangu/ nipo juu kwa sababu siogopi kuruka/ siogopi kuanguka/ siogopi vidonda wala hakuna kuvunjika/ siku hizi milioni milioni ndio zinaniumiza ubongo/ mwangu ataridhi nini nisipokuwa inter ........../
si fuati upepo , upepo unani fuata mimi/ kusoma huwezi hapa picha uioni/ kuna tofauti kubwa kati wasanii wakubwa, na ma under ground wakubwa / mimi ni bora kati ya wakubwa , ndio maana nina heshima kubwa/ ukivaa sana na ujui muda lazima mpumbavu mkubwa/ mpumbuvu haswa....!! /unaposema mimi mkali, na kuamini we mkweli /na amini unaona Vizuri/ na nina Amini kweli kuwa una akili/kenge wana chafua maji wana kijiji washindwe kuoga/ na kuwajibu itakuwa shida uaminie uone wajinga/ umekubali kuwa nguruwe harafu mna dai mabawa/wa nchi kavu waende Angani uja kubali majaliwa .. laaah..
( hamisi mwinjuma - mwana fa - nazeeka sasa)
Ukwaju wa kitambo
0767 542 202
Kuna kauli hapo nimeweka.......
( mwanangu ataridhi nini nisipokuwa ...../)
Kwa mtazamo wangu nadhani " entrepreneur" ndio kilichotajwa kwa utashi wa kifasihi..
Wote bado wana fuata mi ni kama mdundiko/ hata ujifiche wapi sauti itakufuata ulipo/ busara na maumivu katikati ya kauli zangu/ mimi ni kaka mkubwa jamaa msibishane wadogo zangu/ nipo juu kwa sababu siogopi kuruka/ siogopi kuanguka/ siogopi vidonda wala hakuna kuvunjika/ siku hizi milioni milioni ndio zinaniumiza ubongo/ mwangu ataridhi nini nisipokuwa inter ........../
si fuati upepo , upepo unani fuata mimi/ kusoma huwezi hapa picha uioni/ kuna tofauti kubwa kati wasanii wakubwa, na ma under ground wakubwa / mimi ni bora kati ya wakubwa , ndio maana nina heshima kubwa/ ukivaa sana na ujui muda lazima mpumbavu mkubwa/ mpumbuvu haswa....!! /unaposema mimi mkali, na kuamini we mkweli /na amini unaona Vizuri/ na nina Amini kweli kuwa una akili/kenge wana chafua maji wana kijiji washindwe kuoga/ na kuwajibu itakuwa shida uaminie uone wajinga/ umekubali kuwa nguruwe harafu mna dai mabawa/wa nchi kavu waende Angani uja kubali majaliwa .. laaah..
( hamisi mwinjuma - mwana fa - nazeeka sasa)
Ukwaju wa kitambo
0767 542 202
Kuna kauli hapo nimeweka.......
( mwanangu ataridhi nini nisipokuwa ...../)
Kwa mtazamo wangu nadhani " entrepreneur" ndio kilichotajwa kwa utashi wa kifasihi..