Mwana FA - Nazeeka sasa

ukwaju_wa_ kitambo

Senior Member
Joined
Sep 15, 2024
Posts
150
Reaction score
173
MWANA FA ( SONG - NAZEEKA )

Wote bado wana fuata mi ni kama mdundiko/ hata ujifiche wapi sauti itakufuata ulipo/ busara na maumivu katikati ya kauli zangu/ mimi ni kaka mkubwa jamaa msibishane wadogo zangu/ nipo juu kwa sababu siogopi kuruka/ siogopi kuanguka/ siogopi vidonda wala hakuna kuvunjika/ siku hizi milioni milioni ndio zinaniumiza ubongo/ mwangu ataridhi nini nisipokuwa inter ........../

si fuati upepo , upepo unani fuata mimi/ kusoma huwezi hapa picha uioni/ kuna tofauti kubwa kati wasanii wakubwa, na ma under ground wakubwa / mimi ni bora kati ya wakubwa , ndio maana nina heshima kubwa/ ukivaa sana na ujui muda lazima mpumbavu mkubwa/ mpumbuvu haswa....!! /unaposema mimi mkali, na kuamini we mkweli /na amini unaona Vizuri/ na nina Amini kweli kuwa una akili/kenge wana chafua maji wana kijiji washindwe kuoga/ na kuwajibu itakuwa shida uaminie uone wajinga/ umekubali kuwa nguruwe harafu mna dai mabawa/wa nchi kavu waende Angani uja kubali majaliwa .. laaah..

( hamisi mwinjuma - mwana fa - nazeeka sasa)

Ukwaju wa kitambo
0767 542 202

Kuna kauli hapo nimeweka.......
( mwanangu ataridhi nini nisipokuwa ...../)

Kwa mtazamo wangu nadhani " entrepreneur" ndio kilichotajwa kwa utashi wa kifasihi..

 
MWANA F.A FT. MH SUGU & PROFESOR JAY
(NAZEEKA SASA)

Kuna tofauti gani kati yangu mimi na wewe/aah leo na kuchana ilikusudi unielewe/ nadhani we unadhani labda mi nimezeeka/ style za new Traini bado naongeza mzuka/ kupishana na wakati nini utakacho kipata / watu bado wapo juu ka mbalamwenzi na nyota / na maisha tunayoishi we utabaki kuyaota/ Aah sio kwa zali la mentali bali akili / hawa amini tuko mbali kwa Rap za kiswahili/ aaah na bado watasubiri ,subira vuta heri/ lakini mi sijali na unigusi hata kwa shari/ ila kama ni mchizi wangu tupo shwari/ kwa kifupi hamniwezi mpaka nife / kwenye Rap mi kada kama ccm na nape/ mliosabambisha vigongo waniogope/ aah na bado nakula kuku / milioni kwangu ni mbuku / kama Bongo sionekani nipo huku/

(Nazeeka sasa - mh sugu)

Ukwaju wa kitambo
0767 542 202

( katika picha ni msanii joseph mbilinyi a.k.a 2 proud na kada wa Ccm mh Nape Moses Nnauye)
 
Huyu jamaa kuna mshkaji mmoja alikuwa anamkosoa Whatsapp mpaka muheshimiwa akamblock biia kujali yeye ni mtumishi wa umma πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
FA ana ngoma yake moja inasema tushasukuma sana milango iliyoandikwa vuta bonge la ngoma!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…