Mwana jamii mwenzangu tunajifunza nii hapa???

This is so unfair, dudes..! Curious enough, baadhi ya wanawake hawapendi kunyonyesha watoto wao kwa madai kwamba boobs zitadondoka, sasa zikinyonywa kwa style hii sijui hakuna athari...?
 
This is so unfair, dudes..! Curious enough, baadhi ya wanawake hawapendi kunyonyesha watoto wao kwa madai kwamba boobs zitadondoka, sasa zikinyonywa kwa style hii sijui hakuna athari...?

mwanamke anawakilisha nchi, mwanamume anawakilisha serikali , mtoto anawakilisha wananchi na yule kibibi ni upinzani.
 
mwanamke anawakilisha nchi, mwanamume anawakilisha serikali , mtoto anawakilisha wananchi na yule kibibi ni upinzani.

Jeez, very artistic, three dimensional perspective of the sad truth..! :confused2:
 
Goosh hata cjui nisemeje huo unyanyasaji wa haki za watoto
 
Goosh hata cjui nisemeje huo unyanyasaji wa haki za watoto

Hivi hayo ni ya maziwa anapewa mtoto ni ya unga/ ng'ombe au huyo mama amekamua, kwani siku hizi hapa bongo wanawake wanafanya hivyo?
 
Na mume nae kuwa mjinga na kubaki kuwa *****! Au huyo bwana ni mteja na humo ndani ni danguro!
 
Hivi hayo ni ya maziwa anapewa mtoto ni ya unga/ ng'ombe au huyo mama amekamua, kwani siku hizi hapa bongo wanawake wanafanya hivyo?

tena maziwa yenyewe nadhani ni Nan # 2 ambayo imezuiwa ..badala mtoto apate maziwa ya mama yenye afya na vitamini zoooote :confused2:
 
Ni njia mojawapo ya kuamsha stimu.
Hapa tunajifunza mwanaume kwanza mtoto baadae.
 
..mwenzio najifunza rukhsa!...Everything goes, bora kila mtu ameshiba!
Kutokana na mavazi huyo dada ni beki 4 (maid) akimhudumia baba na mwana wakati mother house ndo anarudi home na kushangaa!
 
Dah mbaba anafaidi ziwa la mdada limejazia:becky::becky::becky:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…