Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Kuna uzi unazunguka humu ukikosoa analysis ya mwanajamiiforum mwenzetu OKW BOBAN SUNZU kuhusu mchezaji Aziza Ki sisi kama wanasimba tunamuona Okwi kama shujaa wetu kwakuwa amepigwa mawe sana na bado ameendelea kuwa stable. Na ule uzi umempa heshima ya kuthaminika tofauti na wakosoaji wake wanavyodhani.
Heko ndugu yangu OKW BOBAN SUNZU simba nguvu moja.
Heko ndugu yangu OKW BOBAN SUNZU simba nguvu moja.