HahahahaHuyo jamaa hamna kitu Jana kaniahidi na hajatimiza Hadi PM nimeenda kimya Hana hela Anamilik mikwara tuView attachment 882324View attachment 882325View attachment 882326View attachment 882327
We nae acha kuomba pesa wanaume wenzio,mtu akiandika humi we unaamini tu lo
Hapo unamwita mkulu anazindua kabisaKumbe ndio mkuu hasa ile yenye nyuzi nyingi ukinunua vitambaaa vya majeans kama.elfu 10000 hivi wafanya kazi wakianza ndani ya mwezi wameshona majeans special mia 200 ukiyauza inapata peda yakununulia cherehani na kuwalipa mshahara
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]alaf kila sikuu mtoa mada anavyowaponda upinzan..nikajua wenzetu wana kaupendeleo fulan amazingπ
Mpaka sasa hajajitokeza bilionea jamani[emoji6]
kichambo on fleekWe nae acha kuomba pesa wanaume wenzio,mtu akiandika humi we unaamini tu lo
Hata Kama iweje magufuli anatosha anaeleweka.napitia kipindi kigumu lakini bado kwangu motto ni ule ule hapa kazi tualaf kila sikuu mtoa mada anavyowaponda upinzan..nikajua wenzetu wana kaupendeleo fulan amazingπ
πππ pole usikate tamaa na usipende kuchagua kazi..tembelea sehem wanazojenga uombe ht kibarua.....we jichanganye huwezi kosa kaziHata Kama iweje magufuli anatosha anaeleweka.napitia kipindi kigumu lakini bado kwangu motto ni ule ule hapa kazi tu
Mama Sabby jamani sio kwa makavu haya ha ha ha[emoji23][emoji23][emoji23]We nae acha kuomba pesa wanaume wenzio,mtu akiandika humi we unaamini tu lo
Siku hizi wanaume jamaniMama Sabby jamani sio kwa makavu haya ha ha ha[emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan wakati nasoma zile screenshot zake aibu nilikua naona mimi[emoji23][emoji23][emoji23]Siku hizi wanaume jamani