Mwana JF Mwenye Nyodo Vs Busara

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,258
Nimeamua kuuanzisha uzi huu kwa lengo la kuchichea mabadiliko ya tabia miongoni mwetu na hivyo kuzidi kuliboresha Jukwaa hili

Unadhani ni Mwana JF Yupi mwenye majinu au michango ya nyodo sana ama mwana JF mwenye michango ama majibu ya busara sana

Ukitoa na sababu itaswihi zaidi
 

Yes Mohamed Said ana busara sana!
Sema kuna baadhi ya vitu huwa sikubaliani naye!
Lakini ni mtu moja mstaarabu sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…