GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Jibu kwanza swali pale juu,huo uzushi wako hapa si mahala pake,ID yangu ni moja tu ya kadoda11.
Wala nilikuwa around tuu ishu za kule bwawani...kule kihansiayaaa! ulienda msata nini?
Ubarikiwe sana mpendwa..[emoji120] [emoji120]Busara
7. Heaven Sent
6.Mag3
5.MziziMkavu
4.Mchana Jr
3.Ben saa nane
2.Mchambuzi
1.Nguruvi3
Nyodo
5.
4.
3.
2.Gentamycine
1.Faiza Froxy
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Naona na leo tena umeamua kuja na hii ID yako huku zile zingine za Kazi tano ( 5 ) ukiwa umeziminya " kiaina ". Vipi hapo Mbezi Beach hawajambo? Pole sana kwa kuibiwa Simu kwa mara ya pili na mara ya tatu ukizubaa wataondoka sasa na hizo " Kende ".
..kule kwenye vyura..kama ni huko aisee we pole tu homa ya dunia hiyo..Wala nilikuwa around tuu ishu za kule bwawani...kule kihansi
Hahahaaaa sawa GENTAMYCINE katika ubora wa nyodo zakoSiyo GENTAMYCIN ni GENTAMYCINE swine! Kila siku nawasema kuhusu kuliandika vibaya jina langu ( ID yangu ) lakini hamsikii. Mbona Mimi huwa siyakosei majina yenu ( ID zenu? )
Na hizi ni za nani?Kumbe na Wewe upo kama Mimi mwenye ID moja tu humu JF? Hongera sana Mkuu kwani sijui ni kwanini Watu wengine huwa wanapenda kuwa na ID's nyingi nyingi humu JF!
Makungwi wa kisasaNamkubali sana
KikulachoChako, UncleBen , MKWEPA KODI , msem na mshana jr .
Hivi moniccca na Evelyn Salt wako kundi gani?
madhara ya kujifunzia kiswshili ukubwani ndo hayo, anaropoka sana yule mtumshana jr mstaarabu na mwenye busara za kutosha. Anajibu vema kila mtu kutokana na hitaji. Hana mzozano wala makuu!
Kuna ndugu yangu huyu GENTAMYCINE asee kila kitu kujiona anajua na kuwapachika wengine majina ya kipopoma. Nashauri arudi zake Rwanda tu
Kuna mmoja umemsahau,kwanza hata uraia wake haujulikani km Mbongo au mrwanda,ana nyodo hatari,cjui muimba taarab yule jamaa!jina kapuni coz nishawahi kula ban kwa ajili yake naogopa nicje chezea ban nyingine bila sbb
yule ni mwehu bin chizi chizika, ukiliambia ukweli linakimbilia kwa mods wanakupiga ban. mods nao sometimes wanakosa busara wanakupiga ban bila sababu wala maelezo...kiufupi yule ni chizi bin kichaaKuna mmoja umemsahau,kwanza hata uraia wake haujulikani km Mbongo au mrwanda,ana nyodo hatari,cjui muimba taarab yule jamaa!jina kapuni coz nishawahi kula ban kwa ajili yake naogopa nicje chezea ban nyingine bila sbb
madhara ya kujifunzia kiswshili ukubwani ndo hayo, anaropoka sana yule mtu
yule ni mwehu bin chizi chizika, ukiliambia ukweli linakimbilia kwa mods wanakupiga ban. mods nao sometimes wanakosa busara wanakupiga ban bila sababu wala maelezo...kiufupi yule ni chizi bin kichaa
#nimemind
we ni mwehu tu,utanifahamia Wapi me jembe la mbeya? huko chamanzi sijui Mbezi beach unakujua wewe na ukichaa wako! kiswahili chenyewe umejifunzia ukubwani,ntakupoteza kijana...ooohNilikupa ONYO mara ya kwanza kwamba achana na Mimi hukusikia na leo tena nakupa ONYO kali la pili kuwa achana na Mimi na mara ya tatu usije kunilaumu tafadhali. Nisalimie kwenu huko Chamanzi na kule kwa Hawara yako Mbezi Beach. Naona siku hizi umeamua kuwa MLOKOLE ili kuficha UFUSKA wako huo unaoufanya na Bosi Mume wa Mtu. Hii ni mvua tu ya rasha rasha Bibie endelea " kujaa " katika " njia " Mnyarwanda Mimi wa Kitutsi NIMALIZE BIASHARA ili TUHESHIMIANE humu. Tambua ya kuwa NAKUFAHAMU A to Z nikimaanisha upo kiganjani kwangu. NIMEMALIZA!